Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

....labda MTU hawezi kusema kaona aibu ya kuchungulia kabla ya KUCHUNGULIA!

>> Saturday, January 28, 2012

Ndio,....
..... na labda AIBU za MTU ,....
.... ni MATUNDA na FUNUNU za VIJULIKANAVYO vidude kwa MTU,...
.... na aoneacho aibu mtu ,...
.... kwenye hicho LABDA kuna kitu ANAJUA kimfanyacho aone aibu.


Swali:
  • AU?

Ndio,...
..... labda UKIONEACHO aibu,...
.... umekiona hicho hata kwa kukichungulia!

Swali la kizushi:
  • Unafikiri VIPOFU hawana aibu?
  • Na unafikiri VIPOFU hawaoni hata kwa jicho la ndani?
Ndio,...
...na KIPOFU huchungulia pia ,....
.....kama ukiangalia kiundani!

Ni wazo tu hili MKUU!
Jumamosi Njema MKUU!

 Hebu Nit Doff aingilie kati kwa - Sunugal



Halafu Kool & The Gang waingilie kati na kurudisha -Fresh



Halafu Kool & The Gang wazime kwa -Hi De Hi Hi De Ho

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP