Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati bado TUNAPENDA yale MAJIBU tuyapendayo!

>> Thursday, January 26, 2012

Ndio unaweza kubisha,...
.... LAKINI,...
... labda ni kweli WATU WENGI hata UWAJUAYO hawapendi MAJIBU TU,...
... ila KIPENZI  ``KIJIBU ´´ kwao ni MAJIBU wasiyoyajua,...
... na  ila MAJIBU ni  yale AMBAYO  yanaegemea kwa wayaaminiyo ndiyo MAJIBU  HAAAASAAAA kistaili ya WAAMINIVYO,...
.... kitu kifanyacho  katika ukweli wa ni nani kiudaku ni CHANGUDOA  waaminio hata KIHISIA TU  kabla  ,....
.....kuwa ni CHANGUDOA,...
.....watafurahia au hata kukubaliana nawe KIRAHISI ni CHANGUDOA hata kama hakuna USHAHIDI yule umsemaye ni kweli ni  CHANGUDOA  ambaye tayari wanahisi ni CHANGUDOA.

Swali:
  • SI ni kweli hata kama majibu ni ya kihisia tu na hatuna uhakika kiushahidi au KISAYANSI- majibu yakaayo KIKRISTO yanaweza furahisha kama sio kukubalika na WAKRISTO kama tu yale MAJIBU ya KIISLAMU yawezavyo kukubalika na WAISLAMU kama sio kuwafurahisha  hata kama hayana UTHIBITISHO?

Ndio,...
...labda TUNAPENDA majibu tuyapendayo,...
.. na kwa MLEVI majibu yafagiliayo ULEVI hunoga zaidi kuliko yale yaonao WALEVI kuwa mambo zao DUKINAA tu!:-(

Swali kiaina:
  • Hivi enyi wachawi WA  TANZANIA mbona Hamsifiwi wakati fani yenu  ya KICHAWI ni imara tu tokea enzi za mababu  TANZANIA na wengi wenu HAMJITOKEZI kunenepea fani yenu ilivyo nene TANZANIA mpaka muwe mnaumiza tu?
  • Halo MCHAWI hivi kweni MAZERUZERU mnawafanyia nini kikweli?
Ndio,...
... jibu la nililouliza hapo juu naweza KUOGOPA JIBU,...
... ila NIMEULIZA!:-(

Ndio,...
... ni wazo tu hili MHESHIMIWA Kibanangenge!
PAMOJA SANA BANDUGU BAPENDWA!

Hebu tubadili kidude kwa msaada wa Bi KIDUDE kwa kuanzisha upya kwa -KIJITI



Bi KIDUDE azime tena kwa-AHMADA

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP