Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kimishemishe LABDA ni kweli ni KIMISHEMISHE tu- na labda KIMISHEMISHE ndio MPAKA ni siri TUKUFU mpaka za tuna MARAIS AFRIKA na hata.... mpaka MAREKANI ambao LABDA NAHISI najua unajua wamekaa KIMISHEMISHE tu!:-(

>> Wednesday, February 01, 2012

Na KIMISHEMISHE,....

.... yasemekana KUNA wapatao,...
....hata kama YASEMEKANA kuna KATIKA  wapatao ambao WAPATACHO WATHAMINISHO ni mpaka  demu/KIJEBA  na wala sio OFISI tu, dengelua ,kashata, chipsi mayai,tako, sehemu za mbele za mwanamume rijali ,Ubunge  kisa wametoa mbele na nyuma, OFISI kwenye shirika fulani ILIPAYO SANA TU,  au hata tu BAMIA tu kwa MLENDA kisa CHUNGA hakuna.:-(

Swali:
  • Si unajua ingawa MISHEMISHE kitafsiri FULANI  mtaani ni MISHENI TAUNI -lakini labda MISHEMISHE ni zaidi -na ndio maana siku hizi wajanja wana mpaka  na MAKANISA KIUJASIRIAMALI  ingawa YESU sio rafiki yao?
  • Si ikibidi KIMISHEMISHE - ndio maana WALIOBANANA kwenye DALADALA kule kwa kajamba nani kuna wastukiao KUNA wenye nafasi mbele kwa DEREVA bila sababu maalumu ?


Ndio,....
....Labda BINADAMU WOTE si sawa,..
... kwa kuwa,....:

  • Kwanini WENGINE  wafananao na SISI bado wako kama sio kama SISI na wao kidogo tu KWA SABABU HIZOHIZO hata UBUNGE majirani zako watawapigia kura wao ingawa wanajua wewe  kama MIMI labda ndio kitabia ni WATOTO MZURI  KIBANANGENGE kijijini hapo?
  • Unabisha?


Ndio,...
.... kimishemishe wewe kama ni angalau ni mjukuu wa NYERERE  hata kwa kujisingizia pale karagwe iitwayo TANZANIA,...
.... labda wewe tayari sio MWENZETU kwa kuwa KIMISHEMISHE wewe hata kama hutaki waweza kuishi bila kazi na usife njaa na fulu kuongeleshwa na kama unapenda sehemu za siri za watu labda utagawiwa na hata wasio kupenda kisa jina,...
....eti kwa kuwa KUNA wathaminio wajuacho hata ufanye nini ,...
WEWE  uko konekted hata bila kuhonga kama tu watoto wasio wa MORINGE SOKOINE Ze BONGO!:-(


Swali:
  • Hivi unauhakika  KUNA MTANZANIA  sasa hivi hajawahi kuhonga angalau hata chumvi ili agawiwe MAPERA?

Samahani,...
...mie nakiri nshawahi kuhonga kupatiwa mpaka kipenyo kidogo tu kiitwacho UKE,...
.... nimejirekebisha  LAKINI!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!
JUMATANO NJEMA MHESHIMIWA!


Hebu turudi tu nyuma ya jukwaa na wanamuziki wa TANZANIA halafu Nguli John Kitime aongee...



Halafu sijui kwanini hebu DEKULA arudishe za enzi ndude katika-Mayanga






Dekula Kahanga azime tena kwa-Bamakonde


Nipo bado  Bandugu bapendwa!:-(



1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 9:47 am  

MMMMMHHHH!:-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP