Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

HALAFU,....

>> Wednesday, February 01, 2012

....HALAFU hata KISENTENSI,...
....ukianza na  HALAFU ili kunasa yasiyo na HALAFU,....
... kuna wawezao kuona kuna zaidi  ya HALAFU katika uyaongeleayo yasiyo na HALAFU.:-(

Swali:

  • AU?


Ndio,...
...HALAFU,...
.... si inawezekana yenye HALAFU hata uyasemayo au tu kuongeayo ni yale tu UYANUKUUYO kutoka kwa MTU mwingine bila kufikiria katika uhakika wake kuwa hata katika ya  Rais OBAMA hajikojolei kitandani kama BIBIE au BABUYE na ushahidi huna kama yale ya kuwa mafuta ya CHIPSI MAYAI ni yatokayo kwenye transfoma za UMEME mtaa wa jirani yana HALAFU ?


HALAFU,....
.... udhaniacho nimeandika,....
.... labda kimaana kuna HALAFU Mkuu!:-(
Ni wazo tu HILI Mheshimiwa!


Hebu turudi HAITI ili Rasin Kita wakite....kijina la wimbo tubakie na ....-DI MOVE


2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Unknown 4:19 pm  

HALAFU umegundua jambo zuri, HALAFU siku nyingine ikifika haitakuwa kama hii ya leo. HALAFU nilikuwa na wazo flani hivi!

Yasinta Ngonyani 11:20 am  

HALAFU...BASI NAACHA

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP