Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kwa ATEGEMEAYE kidude cha MWENZIYE!

>> Saturday, February 18, 2012

TATIZO tu la KUTEGEMEA,...
.... ni kuwa nasikia  TEGEMEO kirahisi huweza kubakia TEGEMEO tu,...
..... kwa kuwa  UTEGEMEACHO hakitendeki  kwa uhakika WAKO kwa kuwa KUTEGEMEA huhusisha watu wengine ,...
... MTUZ nyingine kibinadamu  hakuna asilimia mia za kujua utegemeacho kwao wanaweza kutekeleza hasa kwa kuwa labda nao ni WATEGEMEAJI.:-(

Swali:
  • AU?

Na kwa kutegemea hasa kama una MALENGO fulani hata kama si yale ya kumtoa bikira mtu,....
.... LENGO hupungua UTAMU hata kama LITATEKELEZEKA kama ufikiaji LENGO LAKO unategemea  MTU mwingine!:-(

Swali:
  • AU?
  • Na si katika KUTEGEMEA kuna wengi hata hawafikirii halihalisi ya WAMTEGEMEAYE?
  • Si katika kutegemea kuna wengi katika YAO hutegemea MTU mwingine?

Ni wazo tu hili nalo MKUU!

Hebu BOB MALYA aingilie kati na kurudisha -Running Away




Halafu huyuhuyu BOB MALYA aje na GURU katika kujaribu kuzima kwa-JOHN was



Au tu azime huyuhuyu BOB Marley kwa-TIME will TELL


1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 12:23 pm  

Simon Duh!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP