Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Tatizo la KUJIFANANISHA kwa WATU,....

>> Tuesday, February 21, 2012

.... labda liko katika UKWELI,....
... hakuna WATU wawili WAFANANAO kila KITU ukiwanyambulisha.

Swali:
  • Unafikiri wadhaniwao wamefanana ni kweli wamefanana hata kama ni WALE  wafananishwao kimapacha?




Ndio,...
.... ..hata wewe ni YUNIKI a.k.a unique,...
... na UKO PEKE YAKO wa kiaina yako DUNIANI,...
.... na kwa hilo labda ni haki yako KURINGA!


NI wazo tu hili MKUU!
Nakutakia SIKU NJEMA!

Hebu Franco Luambo Makiadi aanzishe tena kwa- Mario


FRANCO akumbushie pia tena swala la UKIMWI kwa -Attention na SIDA

3 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 7:13 pm  

nanukuu "Tatizo la KUJIFANANISHA kwa WATU,...."
Au unafikiri mtu anajifananisha au anafananishwa?

Simon Kitururu 11:32 am  

Vyote hutokea@Yasinta

Yasinta Ngonyani 11:54 am  

mmmhhh!!!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP