Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Yasemekana ADUI MKUBWA wa MAVI ni MAVI!

>> Wednesday, February 29, 2012

Na adui mkubwa WAKO,....
.... yasemekana ni WEWE mwenyewe!:-(

Swali:
  • Si yasemekana ni WEWE  MWENYEWE ndiye UJUAYE zaidi ya muhimu kwa  WEWE na kiutekelezaji labda bado uyapayo UMUHIMU/KIPAUMBELE  sio yako bali ya WALE wengine au angalau yale ambayo yana jicho la WASIO WEWE?

Ndio,...
.... katika YAKO,....
.....SHUGHULI ni yako hasa kwa kuwa ni WEWE mwenyewe ujuaye vizuri unasikiliziaje UTAMU,....
... au hata UCHUNGU.:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA na wala USIKONDE ghafla!:-(

Hebu Ali Farka Toure na Toumani Diabate waanzishe upya kwa - Sabu Yerkoy



Au tu Pape Diouf azime kwa-Casse Casse

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 6:40 pm  

Duh! kazi ipo..kwa mimi hapa ni bonge la wazo pia shule..Usengwili bambu!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP