Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Hongereni akina MAMA!

>> Sunday, March 18, 2012

HAPPY MOTHERS DAY!
Yeah!
Nyie NGULI aisee!

Hebu tupate tukunyema bila jasho kwa ajili ya MAMA FULANI...

-Sweet Mother I no go forget you



Au tuachane tu na siku hizi za kutunga ,...
.... kwa heshima hebu Mdada Jocelyne Beroad aweke ulimbo kwa-Kay Manman


Au tu Sipho Hotstix MABUSE aingilie kati kwa -SHIKISHA


Halafu sijui kwanini ila huyu huyu SIPHO Hotstix MABUSE azime mshawasha kwa kunyuka tena-Jive Soweto


 



Ndio,...
.....bado NIPO!











































4 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 5:39 pm  

Hongera akina mama wote nikiwa mojawapo..na pia mama yangu ambaye sikupata nafasi ya kumwambia nampenda sana. Na nitakupenda daima

Yasinta Ngonyani 8:15 pm  

Nakusifu kweli kadoda kwa kuwa pamoja na watu hii ni safi sana..ni kipaji

Rachel Siwa 8:41 pm  

Ahsante kaka wa mimi,Pia uko poua na washikaji wape Hi waambie Kachiki nawasilimia sawa Kadoda? Hongera yetu da'Kadala na wamama woootee, bila kumsahau mama Kitururu!!!!!

Simon Kitururu 8:54 pm  

ASANTENI jamani!@Rachel na Yasinta!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP