Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

R.I.P Papa Shenouda III!

>> Monday, March 19, 2012

Pumzika MKUU ,...
....ingawa nimechelewa kidogo kukuaga!

3 August 1923 – 17 March 2012





Ndio ,...
.... kwa wasiomjua huyu Nguli,...
... ni yule PAPA wa kanisa la zamani kidogo lenye makao MISRI,...
.... lile la Coptic Orthodox Church of Alexandria Habari zaidi za kifo chake ,...
..... tekenya HUKU ....
...au HUKU


Ni hilo tu MUUNGWANA!


Basi tuhame kwenye swala kwa msaada tena wa Mighty Shadow katika- Shadow Ting


Turudi tu tena kwa NIGERIA ili jamaa nihusuduye sana kazi zake kwa jina Keziah Jones aingizie tu - Beautiful Emilie


Au tu Patrice aje live na kukumbusha-Everyday Good

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Interestedtips 11:50 am  

RIP Papa

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP