Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati KIMAADILI kuna WAKOJOAO pembeni kidogo ya CHOO kwa MAKUSUDI yani na WALA sio kwa KIDUCHU tu yani!!

>> Saturday, March 31, 2012

Na kama akojoaye PEMBENI ya CHOO,...
.... anajua hapo ni PEMBENI YA CHOO,...
....kifanyikacho ingawa bado ni KUKOJOA,...
.... lakini LABDA  kina tatizo jingine KIMAADILI  zaidi ya lile la  KUKOJOA pembeni ya CHOO.



Swali:
  • AU?
  • Lakini na si mbinu nyingine za WASTUKIAO ambao ni WASAHIHISHAO maadili kiwafikirishacho staili za  kusogeza choo kidumbukie chooni bado huhitaji mtu ajisaidie pembeni ya CHOO?


Na aachiaye MSALANI pembeni ya shimo la CHOO,...
.... akumbuke tu afanyacho ni kuachia wengine waingize hicho choo chake SHIMONI hata kama wakati huo kifanyikacho na WASAHIHISHAO shughuli atakuwa HAKIONI!


Ni wazo tu hili MHESHIMIWA na wala siongelei ya CHOO  kama CHOO!
JUMAMOSI MWANANA MHESHIMIWA!


Hebu tupoteze maadili zaidi kwa  ICE CUBE akiingilia kati  kwa ya jana katika pini-FRIDAY




Ice CUBE aongeze kuharibu kwa  ya leo katika pambio-It Was A Good Day

 



Easy E aingilie kati na kuharibu zaidi maadili kwa -Real muthafuckin G's


 



Ila sijui kwanini ICE CUBE na Dr DRE wapindishe zaidi kwa dozi -Natural Born Killaz

 



Au SIZZLA ajaribu kuhama kwa kuongelea wajichubuao akiwemo VYBZ KArtel ila abaki palepale kwa -How Dem So Brite


 

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP