Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Yeah-STEEL PULSE !

>> Sunday, April 29, 2012

Ndio ,...
... naudhaifu na BENDI hii!:-(

Read more...

R.I.P Frank ODOI!

>> Tuesday, April 24, 2012



Pumzika Mkuu!
I love your Work!


Habari zaidi kuhusu kifo chake ,...
....HUKU


Habari zake nyingine:

.....HAPA
......au hata HUKU PIA

Read more...

R.I.P Brig. Gen. Adam Mwakanjuki!

>> Thursday, April 19, 2012

Mzee Mwakanjuki (aliyekaa alipotembelewa na Waziri Mkuu!
Poleni sana ALIKO , CHE na familia yote ya Mwakanjuki!

Pumzika Mzee!

Read more...

Hebu twende USWIDI ili KEKI ikeketwe!

>> Wednesday, April 18, 2012




Kama unataka nyolinyoli zaidi,...

.... kwa ung'eng'e kongoli HAPA

Au  HUKU

Au tu .....

Read more...

Kama hujapangiwa KUONDOKA dunia HII......

>> Thursday, April 12, 2012

Read more...

Katika kumbukumbu:EDWARD Moringe SOKOINE!

Edward Moringe Sokoine (1 August 1938 – 12 April 1984)

R.I.P Nguli!
Mie nakukumbuka!


Habari zake zaidi kiduchu KONGOLI:...
....HAPA

Read more...

YASEMEKANA kujivunia UMASIKINI ni dawa pia ya kuvutia MASIKINI wajisikie vizuri KUMPIGIA kura wafikiriaye ni MASIKINI mwenzao!

>> Monday, April 09, 2012

Na majivuno ya TAJIRI kwa masikini,...
.... yanaweza kuwa ni CHANZO tu cha kutamanisha  watu KUIBA.:-(

Swali:
  • AU?

Ni angalizo tu hili KIAINA!:-(

Hebu Mr Vegas na Jovi Rockwell waingilie kati kwa -You're Gonna Need Me




Au tu SHABBA Ranks akatizie denge kwa-Muscle Grip



Halafu  tu Maxi Priest aingilie kati,...
.... na huyuhuyu SHABBA RANKS na kuzima kwa - House CALL

Read more...

UMAARUFU wa DINI ni bonge la kisimi cha BIASHARA tokea ENZI ZA MABABU!

>> Sunday, April 08, 2012

NA labda OGOPA hasa watu walio  nyuma  ya UMAARUFU wa  MTU MAARUFU,...
....ambaye umaarufu wake KIUBAVU wa UNYEGELESHO  unakufanya unahisi DINI yake inafanana na yako kisa jina au tu UOGOPAVYO kiimani aina za UYOGA,...
.. na katika hilo la  WOGA ukichanganya na UNGULI WAKE ambao  unaweza kukusaidia kunyonywa uchi KWA RIDHAA YAKO bila kufikiria KWANINI hilo  la ``WEWE KUTOKUWA NA UHAKIKA ´´ linachako cha  kikupewa faraja za UTAMU,...
....unakusaidia kuuchekelea  UMAARUFU bila kukumbuka kuwa,...
.... walio NYUMA ya UMAARUFU wa UMSHABIKIAYE wanaweza kuwa ni kinyume hasaaa cha hata uaminivyo MUNGU!:-(

Swali:
  • Si labda nasema ukweli ingawa unaweza kubisha KISA sentensi zangu hazikidhi ustaarabu wako wa nini na nani wa KUMSIKILIZA hasa kwakuwa sifanani na uliozoea KUWASIKILIZA?
  • Kabla huja sahau kichwa cha habari-UNAKUMBUKA tokea zamani na sio siku hizi tu DINI ni bonge la BIASHARA ukijulia kusikilizia kula sadaka za HASA  masikini ?

Ndio,...
...yasemekana labda MAARUFU hata kama ni RAIS KIKWETE  na HUYO sio wa KUOGOPA,...
.... ogopa walio nyuma yake HASA yale YAO  ambayo yanawafanya wahakikishe hata  RAIS OBAMA ni RAISI ambayo siye vimbulukutu hatujui!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!

Hebu ALI KIBA alainishe kwa - DUSHELELE

 



HABIDA ajaribu kulainisha kwa- GET DOWN TONIGHT




Halafu NATALIE COLE aachishe utani na kudinya-This Will Be

Read more...

Kuhusu ya waheshimiwa hadharani kuhisisha WATU kuwa WATU hawana hamu ya KUNYA kama hakuna CHOO hata karibu na HADHARANI!

Ndio,...
.... ukifikiria unaweza kustukia kuna wenye hamu ya kutafuta CHOO,...
... kabla ya kuwa na haja ya KUNYA!:-(


Swali:
  • Si kuna wajitafutiao kusikilizia ya ``UCHI ni  mtamu vipi´´ bila hata ya kuwa na hamu kikweli ya UCHI?

Ndio,...
...hili ni wazo tu MHESHIMIWA!:-(



Hebu turudi 27.05.1972 ili CHUCK Berry arudie-Johnny B. Goode



Au tu Lou Reed ajaribu kuhamisha kwa - Walk On The Wild Side


 

Read more...

R.I.P Steven Kanumba

>> Saturday, April 07, 2012

(8 Januari 1984- 6 Aprili 2012)


Poleni NDUGU, Jamaa na MARAFIKI!
Pumzika Kanumba The Great!

Read more...

Kuna ya MUHIMU na tuyapayo UMUHIMU , ambayo LABDA ni vitu viwili tofauti!

Ila yasiyo MUHIMU,....
.... labda ni tafsiri tu za MTU,....
..... kwa kuwa UMUHIMU wa kitu CHAKO,...
......yawezekana hutegemea sana WEWE mwenyewe binafsi WAHITAJI nini.


Swali:

  • Au?
  • Unafikiri cha MUHIMU kwako huhitaji MAJADILIANO kuwa hicho MUHIMU?

Na chaMUHIMU,...
..... labda wala sio MUHIMU,...
.... kama tu Coca Cola au PEPSI kwa mwenye JUISI asilia,.....
..... ingawa kwa kuwa kuna tuvipavyo UMUHIMU,...
.... mtu huweza kujikuta kwenye SHEREHE anatoa UMUHIMU kwa COCA COLA kuliko JUISI ya EMBE kutokana na kusahau kuwa labda kiumuhimu JUISI inatosha.

Swali:
  • AU?

Na labda DALILI kuwa unakipa UMUHIMU kitu kisicho MUHIMU,...
.... ni pale ujikutapo unajisikia KUKITETEA KITU kuwa ni MUHIMU,...
... hata bila kujua faida zake!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!


Hebu Gibson Brothers waingizie - Cuba


 


Joe Cocker ajaribu kulainisha kwa-You are so beautiful

 

Au tu BUJU BANTON aingilie na kuharibu kwa-Stamina Daddy






Halafu azime kwa-Make My Day


Read more...

R.I.P President BINGU wa MUTHARIKA!

>> Friday, April 06, 2012

Majirani zetu MALAWI wamefiwa na Rais!
Tukiachana na ya SIASA,...



Pumzika BINGU  wa MUTHARIKA!





Dadavua zaidi paja  hili kwa kubofya ,...
...HUKU




Kujua baadhi ya huyu rijali yalioegemea eneo fulani tomasa au donoa  ,...
...HUKU



UPDATES:

Habari hii sasa inamadoa kwa kuwa kuna wadaio daktari hajatamka bado kuwa hawezi kuamshwa... ...ndio hata HUKU inabakia ni uvumi



PS:

DUH!
 Kama hujafa Mkuu -nia ilikuwa sio KUKUCHULIA!:-(
Kama UMEKUFA tutakutana baadaye umetangulia tu!


UPDATE :

Yeah- MTUNDU  kaanza kikweli kwa Sir GOD!

Read more...

Kudadadeki Rais NYERERE yani!

Hebu msikilize huyu NGULI tena akitonesha,....

Read more...

Unataka MALANI?

Haya basi,...

PASAKA NJEMA!








Au tu hebu tudakwe na SHAKILA katika -Moyo unalia macho yanacheka



Halafu Buddy Guy azime kwa - Mustang Sally

 



Au tu JAMES BROWN aendeleze mdinyo wa 1966....

Read more...

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kupitia CHADEMA, amepoteza KALIO .

>> Thursday, April 05, 2012





Habari zenye tako kubwa ,...
...kongoli :
....HUKU

Read more...

Wanaume mnauhakika WANAWAKE zenu ni WANAWAKE kwa kuzaliwa?

>> Wednesday, April 04, 2012

Hebu mcheki MDADA ,...
.....Jenna Talackova ...
.... aliyezaliwa MWANAUME.


Read more...

Kwani kuna awaye nguli wa kuendesha BAISKELI kwa kusomea KUENDESHA baiskeli kwenye VITABU?

>> Tuesday, April 03, 2012

Ndio,...
..... kuna mengi tu kama tu jinsi ya KUENDESHA baiskeli,...
.... kihitajikacho ni VITENDO kwa kuwa hata ukariri kurasa za vitabu vipi,...
.... MIMBA haiingii bila VITENDO!:-(


Swali:
  • AU?

Ni WAZO tu hili MHESHIMIWA!
Nakutakia siku KIBONGE!


Hebu turudi GHANA ili  Koo Nimo  arudie-Yaa Amposah






Au tu Koo Nimo na Palmwine Quartet waongezee shughuli...

Read more...

Kuhusu SIASA -according to Social psychologist Jonathan Haidt

>> Monday, April 02, 2012

Labda kuna la kujifunza....
... hapa hata kama tunalenga TANZANIA kwa KISIASA



Read more...

Haya tena -YA KANISANI!

Read more...

Jana APRILI tarehe MOJA - yasemekana ilikuwa NI siku ya WAJINGA!Leo JE?

Bado kidogo niitukane siku JANA,...
.... kisa kila nilichokuwa nasikia hata cha KWELI ,...
.....ilibidi nijiulize  MARA MBILIMBILI hivi hiki ni kweli au ndio nafanywa MJINGA!

Swali:

  • Hivi JANA ilikuwa siku ya KUDANGANYWA au ya WAJINGA hasa ukizingatia vingi vihusianishwavyo na hii siku ni UONGO uliotungwa MAKUSUDI?
  • Kwani MWEREVU akidanganywa maana yake ni MJINGA?


Kwa bahati mbaya,....
.... leo bado naegemea kwenye WAZO kuwa,....
....WAJINGA walikuwepo, WAPO na WATAKUWAPO,.....
... kitu kinifanyacho hasa baada ya kuangalia maswala tutendewayo na tutendayo kama BINADAMU,....
... labda kila siku ni siku ya WAJINGA!

Swali:
  • Unauhakika WEYE ni MWEREVU tu na ni akina Simon Kitururu tu  ndio WAJINGA?


Ndio,....
.... labda kwa bahati MBAYA ,....
.... UJINGA bado  ni UBINADAMU tu !:-(
Nawaza tu!
Jumatatu NJEMA Amigos!


Hebu tubadili kwa kupata moja ya mtazamo kuhusu-The History of April Fools Day

 



Halafu sijui kwanini ila hebu The Temptations warudishe tena -Shakey Ground




Au na baridi hili niote tu ya Kool & The Gang katika - Summer Madness

 

Read more...

WANAFUNZI UDOM WATOA ZAWADI YA PASAKA KWA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA MIYUJI KILICHOPO MKOANI DODOMA JANA

>> Sunday, April 01, 2012





 Hii ni moja ya Picha Kubwa iliyochorwa katika ukuta wa bweni ambalo wanalala watoto wa kituo cha Miyuji kilichopo katika Eneo la Miyuji Mkoani Dodoma.Kituo kinachoendeshwa na Kusimamiwa na Kanisa Katoliki





Mbuzi huyo alikua ni Moja ya Zawadi ya Pasaka kutoka kwa wanafunzi wa UDOM waliyopelekewa Watoto Waishio katika Mazingira magumu katika Kituo Cha Kulelea Watoto cha Miyuji kinachosimamiwa na Kanisa Katoliki kilichopo Miyuji Mkoani Dodoma






Wanafunzi wa UDOM wakiwa wamewasili katika Kituo Cha Watoto Cha Miyuji na Kiroba Cha Unga kama Moja ya Zawadi walizowapelekea watoto hao wakati walipotembelea kituo hiko cha miyuji kilichopo Maeneo ya Miyuji Mkoani Dodoma.








Watoto waishio Katika kituo Cha Kulelea watoto Cha Miyuji Wakiwa wamekusanyika mara baada ya Wanafunzi wa UDOM kuwasili katika Kituo hiko kilichopo maeneo ya Miyuji Mkoani Dodoma hapo Jana






Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) wakiwa pamoja na watoto waishio kituoni hapo katika moja ya Mashamba ya machungwa yaliyopo kituoni hapo wakti wanafunzi wa UDOM walipokwenda kuwatembelea Watoto hao hapo jana






Picha Juu Ni wanafunzi wa UDOM wakishiriki kuimba pamoja na Watoto hao katika kituo hilo ambapo wanafunzi wa UDOM walienda kuwatembelea watoto hao jana na kucheza nao baadhi ya michezo





Baadhi ya Wanafunzi Wa UDOM wakiwa katika Picha ya Pamoja Na Watoto waishio katika Kituo Cha Miyuji kilichopo Maeneo ya Miyuji Mkoani Dodoma wakati wanafunzi wa UDOM walipokwenda kuwatembelea Watoto hao hapo jana.Picha zote na Fadhil Gharib Linga Wa Lukaza Blog - http://josephatlukaza.blogspot.com

Read more...

Labda CHIZI anahitaji CHIZI TOFAUTI katika PENZI ili MAPENZI yasizidishe UCHIZI!!

Na labda,...
.....katika UCHIZI uitwao MAPENZI,....
.....kwa  akiriye KAPENDA kwa DHATI,...
......hawezi kukiri kihivyo bila kuingia kaaina ya UCHIZI!

Swali:
  • SI ukipenda KISAWASAWA hata ndugu na jamaa walalamike kuwa unachemsha kwako weye  kila kitu ni SAWA?
  • Na kama umependa KISAWASAWA na bado hufanyi uchizi- HATA KAMA hufanyi ambayo hufanya kuna walambao mpaka vitobo vya nyuma vya wawapendao WAPENZI  kama vile ulimi ni TISHU -bado kwa kupenda sana hustukii kaUCHIZI?

Ndio,...
.... labda usishangae kwa kuwa ,....
.... labda ni WEYE watu wa kUSHANGAAAYE,...
.... kisa UMEPENDA na ufanyalo kwa MPENZI wasio wapenzi wako ,...
.... ufanyalo LABDA ni UCHIZI.

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA !
Jumapili Njema!

Hebu turudi CONGO ili Lopango ya Banka wapenyeze- Kongo Bololo


 



LOPANGO ya BANKA waongezee-Bifuku Mitano






Lopango Ya Banka waongezee - Ndule Ya Bakin


 



Halafu hawahawa LOPANGO YA BANKA wazime kwa-wazime kwa -MPO NA KONGO


Read more...

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP