Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

``KIDOGO´´ na ``SANA´´ ya NANILII!

>> Saturday, May 26, 2012

Kuna kuzidisha ,....
.... lakini labda KUZIDISHA ni lakshari za WENYENAVYO tu!


Swali:
  • AU?
  • Kwani UNAWEZA kuzidisha kama hakuna vya KUZIDISHA?

Ila labda PIA ,...
.... ``KIDOGO´´ na ``SANA´´´ni vipimo tu binafsi MTU ajifunzavyo KIBINAFSI,...
.... kitu kifanyacho kwangu  kilicho KAWAIDA kwako kinaweza kikawa tayari ni kupitiliza na kwahiyo tayari ni UMALAYA ki -SANA TU kiulafi!

Swali:
  • Lakini si unakumbuka kuwa LABDA wingi wa kitu kama tu UCHACHE WAKE kitu  hutegemea SANA kipimo cha kitu kingine ambacho MPIMAJI analinganisha nacho hata bila KUJUA- kitu kifanyacho KILO moja ya SUKARI  ni ``SANA´´ kama inalinganishwa  na KIKOMBE wakati labda ni ``KIDOGO´´ kama kipimo ni PIPA`?

Ndio,...
.... na kidogo tu KIUJAZO  wa NANILII,....
.... inaweza kuwa inatosha kama lengo ni kufanya mtu apate HATA mimba KIIMANI!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!
Nakutakia SIKU NJEMA MKUU !


Hebu Burning Spear aingilie kati kwa-AFRICAN TEACHER






Burning Spear aongezee-Man in the HILLS


Aongezee-CRY BLOOD AFRICA




Halafu azime tu tena kwa -This Experience

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP