Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Leo katika PITAPITA : DUH kumbe ZANZIBARI tokea enzi NA ENZI hakukuwa BONGO aisee!!

>> Saturday, June 30, 2012

Nilikuwa nimezoea kuita tu Tanzania  -BONGO,...
.... bila kuwa na SIASA au hata KUFAGILIA jina BONGO kama jina la TANZANIA hasa kwa kulioanisha na SIASA , DINI  au hata kwanini wajanja walianza kuiita TANZANIA Bongo NYOSO,...
......wakati jina lake ni TANZANIA .


Swali:
  • Si ushawahi kujikuta unatumia NIKI NEMU hata wakati unajua jina halisia la MHESHIMIWA?
Ndio,..
... nakumbuka kuna waliooanisha neno BONGO na Dar-es -Salaam tu,..
... ila sikutegemea kuamsha hisia za Mke wa Mzanzibari LEO kihivyo kitu kilicho zua hotuba kikusahihisha  kirefu sana kuwa WABONGO ni WABARA hao,...
... katika WAZANZIBARI  hakuna MBONGO.

Swali:
  • Hivi hii kitu MUUNGANO wa TANGANYIKA na ZANZIBAR..ni kwanini  usiri MWINGI.?
  • Na kwa nini inafikia mpaka  tunachukiana NDUGU kwa NDUGU ... mpaka siri nyingine za rafiki za CHUKI unakutananazo kwa MKE wa RAFIKI ambaye unafikiri nyie ni TAIFA moja huku MKUU wa TAIFA hasemi kitu?

Kumbuka tu uchukuliavyo KITU,....
... labda sio kila mtu NDIVYO akichukuliavyo HIVYO  hicho KIDUDE,...
....na siri nyingine atoaye ni MWENZA wake kimaisha kwa kuwa yeye kistaarabu ,..
..hayo ya CHUKI  huyaongelea USIPOKUWEPO ambako kama sio ´MSIKITINi wala KANISANI ingawa na LABDa wala sio hata,....
...  CHUMBANI.

Ni hilo TU!:-(


Hebu Mbongo  ,...
.....samahani Mzanzibari ,...
........yule MZEE Yussuf asawazishe kwa-ALAMBA





Mzee Yussuf alainishe zaidi kwa kuja ki-Daktari wa MAPENZI kwa kirefu



AT na Mwa4 wakatizie denge na-Vifuu Tundu


AT aongezee - BAO LA KETE




Au tu turudi BONGO ili Saida Karoli asigine-Wakati Ndio Huu

 

Read more...

Kuna KUNOGEWA na kitu `` KUNOGEWA tu na KITU´´ ,kisa MAZOEA yamegeuza nanilii chungu iwe TAMU kimazoea!

Kuna tamu,...
... UTAMU ukitafsiriwa kuwa ni MTAMU,...
... hata kama ni  kwa kuwa MAUMIVU yamezoeleka TU,...
... na sasa ndio yameshageuka kuwa KITU kijulikanacho na MWENYE kunogewa ambacho kitafsiri kina unganisha LADHA mpaka na MAZINGIRA bila kusahau wazungukao kwa kawaida SINIA la CHUKUCHUKU  chungu ila ni zifanyazo kwa ung'eng'e ``HOME inakuwa SWEET home´´ hata kama inavuja wakati bado NDIO home tena KIKUNOGEWA!

Swali:
  • AU?
  • Si CHUMVI na sukari kwa anogewaye vyote ni VITAMU?
  • Na si uzuri wa NYUMBA sio RANGI ndio maana siye wenye VIBANDA tunanogewa na HOMU sawa tu na wenye MAHEKALU ?

Na  katika MAZOEA,...
... nyanya chungu pamoja na UCHUNGU wake,...
... kwa aliyezoea hiyo TAMU kwa kuwa INANOGA tu hata kama UTAMU wake sio TAMUTAMU kama SUKARI bado ni TAMU kikunogewa ,...
.....hata kama ni KUNOGEWA na KUNOGEWA!

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!
Jumamosi NJEMA aisee KAMANDA!

Hebu tubadili kwa msaada tena kutoka kwa,...
.... ZAP MAMA na Black Thought katika -RAFIKI




Iyeoka arudie- Simply Falling




Au tu Black Thought arudie safari hii,...

 na Erykah Badu kwa-You Got Me

 


Au tu THE ROOTS wazime kwa-The Seed

Read more...

Tanzania must stop re-flaggin​g Iran tankers: U.S. lawmaker


(Reuters) - Tanzania must stop the practice of "re-flagging" Iranian oil tankers or it will face the threat of U.S. sanctions and damage its ties with Washington, a U.S. lawmaker warned on Friday.
Howard Berman, the ranking member of the House Committee on Foreign Affairs, accused Tanzania of reflagging at least six and possibly as many at 10 tankers owned by the National Iranian Tanker Company.


"This action by your government has the effect of assisting the Iranian regime in evading U.S. and EU sanctions and generating additional revenues for its nuclear enrichment and weapons research program and its support for international terrorism," Berman said in a letter to President Jakaya Kikwete that was obtained by Reuters.


Berman said if the tankers were allowed to continue sailing under the Tanzanian flag, Tanzania could face the sanctions that President Barack Obama signed into law.
He said Congress would also have "no choice" but to consider whether to continue the range of bilateral U.S. programs with Tanzania.


Officials at Tanzania's embassy were not immediately available to comment on Berman's letter.
The sanctions, along with similar action by the European Union, are aimed at pressuring Iran to curb its nuclear program, which the West believes aims to develop nuclear weapons but which Tehran says is for peaceful purposes.


The United States gave China a six-month reprieve from Iran financial sanctions on Thursday. The Obama administration has now spared all 20 of Iran's major oil buyers from its unilateral sanctions, rewarding them for cutting purchases of Iranian oil.
(Reporting By Russ Blinch; Editing by Bob Burgdorfer)

SOURCE:

Read more...

Kuhusu kudharaulika kwa matatizo ya MUDA MFUPI kisa eti kuna yatibikayo hata KIUTU UZIMA kwa MUDA kiduchu tu YANI!:-(

>> Friday, June 29, 2012

Ndio,...
... tatizo muhimu ,...
....la weza kuwa ni LILE lidharaulikalo kwa kuwa eti ni la muda MFUPI!



Swali:
  • Kwani unafikiri kwa kuwa Tanzania inashindwa kutibu matatizo yake ya muda mrefu kwa hiyo ndio maana yake kuwa MATATIZO ya muda mfupi kiumuhimu sio MATATIZO muhimu?

Ndio,...
... maisha ni MAFUPI,...
... na kimaisha ya MUDA  labda hakuna MUDA MFUPI!:-(


Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!
Ijumaa na WIKIENDI njema aisee!

Hebu niwaachie URBAN TAP ambao ni:
Tamango - MC, tap dance & vocals
Naj Jean de Boysson - V Jing / live videomix
David Murray - saxophone
Cheick Tidiane Seck - keys
Kenny Muhammad - beat box
Nuru Kane - guembri
Kaoru Watanabe - japanese flute & taiko drum
Daniel Moreno - percussions
Mosin Khan Kawa - tablas
Nawaz Ali - vocals
Roxane Butterfly - tap dance
Antoinette Gomis - dance
Didier Firmin - dance
Ya-Hui Chan - dance

....waingie kazini





Read more...

Saa nyingine ,MUDA uleule!

Na KIMUDA,...
... labda kila MTU yuko DAKIKA mbele kitofauti hata kama ni JIONI ileile.

Swali:

  • SI ingekuwa wote tunaishi sekunde ileile faraja HATA ya kifo na sio tu YA  hamu za  FARAJA KIFARAGHA ingetokea kwa wote muda uleule MPAKA kisekunde?
  • Kwani sekunde hiyohiyo hata kama ni tamu unafikiri unasikilizia utamu kama akupaye tamutamu?

Ndio,...
... labda SEKUNDE yangu na yako HAVIFANANI,..
... kwahiyo ISHI aisee kivyako yani!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!

Hebu turudi ZIMBABWE ili Thomas Mapfumo arudie-Moyo Wangu



Au aajaribu kuzima  kwa-NYOKA MUSANGO

 


Sijui kwanini ila hebu Bono aingize-Sweetest thing



Halafu ni SADE ndio azime kwa -SWEETEST TABOO

Read more...

Uzuri wa za CHAPUCHAPU ikiwa gesti ni MIGOMBANI,....

>> Thursday, June 28, 2012

....yasemekana HUWA  hulalamikiwi kama hukuridhisha mtu KIOGAZIMU,...
......kwa kuwa ETI kijaliwacho sana wakati huo eti YASEMEKANA ni kuwa,...
... kama hamjafumaniwa KISHUGHULI wakati mmekutanisha viungo vyenu vya siri,...
....basi MMESHAFANIKISHA hata kama ni kiMIGOMBANI gesti KISHUGHULI!!:-(


Swali:
  • Kwani hujagundua YASEMEKANA  lawama nyingine nyingi LABDA  ni mazingira tu yaletayo hata KIBEZI cha kulaumu au tu kufanya kisichostahili KULAUMIWA KIGEUKE KUWA lawama?
  • Kwani UNAFIKIRI kuna hata atakaye lalamikia hakuna MAKANDE wakati katika mazingira yake hakuna MAKANDE?

Ndio,...
... LABDA mambo mengine hutafUtiwa tu LAWAMA kwa kuwa umuhimu wa UGALI  wake labda wala sio LADHA,...
.... ila ni kibebwacho tu na UGALI hata kama sio UGALI ndio   kiletacho KUSHIBA!:-(



Ni wazo tu hili NGULI!
Hebu SIZZLA a -DRY CRY



BUJU Banton arudie-Boom Bye Bye



Au tu tena SHABBA RANKS azime kwa-Muscle Grip

Read more...

Moja ya almasi ithaminiwayo sana na Malkia wa Uingereza !

WAKATI kuna UHAKIKA  kuna zawadi nyingine zimetoka TANZANIA,....
..... LABDA angalia tu baadhi ya ALMASI za wamaskini WATANZANIA ziendako.......
... msisitizo UKIWA ni pale tu MKANADA zawadi yake ni kutoka TANZANIA....
.... wakati simaanishi kuwa MKANADA zawadi zake lazima zitoke KANADA.



Swali:
  • Si Tanzania ni NCHI masikini?
Just SAYIN'!:-(



Read more...

MBWEMBWE ilizinoge TAMU kunoga,....

.... yahitaji mwenye MBWEMBWE ajue kwanza aoneshacho MIKOGO!:-(



Swali:
  • AU?


Na mtu akionesha MIKOGO kimbwembwe katika asilolijulia VIZURI,...
...hata kwenye kujamba ,...
...MTU anaweza kujinyea aisee!:-(


Swali:
  • AU?
Ndio,...
.... kama hutaki KUBAHATISHA,...
......LABDA julia ukifanyiacho MBWEMBWE  kabla ya MBWEMBWE!:-(
Ni wazo tu hili aisee MHESHIMIWA!


Hebu Meet Me At the River ,...
.....kwa msaaada wa MAFIKIZOLO ki-EMLANJENI





Au tu hawa hawa MAFIKIZOLO wazime tu tena kwa-Nisixoshelani

 



Halafu tu hebu JULIANA KANYOMOZI na BUSHOKE wazime kwa-USIENDE MBALI




Na ndio,...
... kuna enzi nilikuwa natafutia mademu kwa Gitaaa...:-(



Na nipo bado bila GITAA zaidi...:-(










Read more...

WAKATI na NYEGE......!:-(

>> Wednesday, June 27, 2012

Na labda kinyege zako ,...
... waweza kunisukumizia mpaka UKRISTO!:-(


Swali:
  • Si inasemekana wenye nyege zao huwa wana mchezo wa kufikiria kila MTU ana nyege kama zao?

Ndio,..
... mambo MENGINE labda ni yako tu AISEE,...
... na siye wengine labda .... ``AKU Babu weee UTUKOME´´ wala hatuhusiki hata na unukavyo MDOMO au hata kule chini KIJASHOJASHO!

Swali:
  • Unabisha?
  • Si ushawahi kupata nyege hata kama sio ya KITUMBUA?
Ndio,...
.... nyege nyingine ni NYEGE MSHINDO,.....
... ingawa labda MSHINDO wenyewe bwelelel!:-(


Ni wazo tu hili MHESHIMIWA,...
.... na wala USIKONDE kama tu hausigeli wa nyumba ya JIRANI!



Hebu ghafla Tshala Muana apenyeze-Lekela Muadi



Gregory ajaribu kuharibu kwa -The BORDER





Aongezee ncha kisimi kwa-Out Deh




Wakati anataka ku-Substitute






Ajaribu kuingilia tena mlango wa mbele kwa-FRONT DOOR





Halafu ajaribu kuzima kwa-Not the way






Au tu Michael Jackson ndiye azime kwa kudansi tu...

Read more...

Kama ETI una...NANILII hata kama SIO ...kinaniliwacho ni UCHI WA SHENZi upengao kamasi KIKUNANILII....

......LABDA    .....
....kumbuka TU kuwa hata bila KUBAHATISHA naniliii,....
....kuna ananiliwaye KINANILII.....
... hata kama kivyako kinaniliwacho ni KORANI na sio BIBLIA,...
..kwa kuwa ni MBUDHISTI na  wabuzisti wamekaa KIMYA kisensa au hata KIKITEKENYEO,....
......na hawachekelei KANYAU!:-(

Swali:
  • Si kunauwezekano HUNIELEWI?
  • Unataka kubisha au UNABISHA?
  • Si unakumbuka CHUPI nyeupe sio ya KIJANI?

Na katika ajiaminiye ana-NANILII,...
... labda KUNANILIWA kuna mionjo ya ASIYEgunaye kwa kuwa kuna AGUNISHWAYE ,...
.... na eti kisa cha apigaye KELELE kwenye mambo  hata mENGINE kwa kuwa TU eti  bado mambo ...
.....MPAKA hayo AMBAYO labda KIUKWELI yako zaidi KIUDAKU hata MAKANISANI na MISIKITINI ,....
...ingawa LABDA na bado  hata KIKIVITENDO ni kuliko BAJETI za Ki RAISI KIKWETE  kwa WATANZANIA hata ambao ni AMBAO  ni Rais  ni KIKWETE hata kwa wa ZANZIBARI ambao WATANGANYIKA hawawataki ,....
.. NA inabakia ni yasemekanayo tu MITANDAONI ,...
...ingawa kuna LABDA  anayefikiri
...na AFIKIRIACHO anayefikiri,...
...LABDA kuna-NANILII,....
.... na sio tu kuna  KUNANILIWA.:-(

Ni wazo tu hili aisee  NGULI!
Nakutakia siku KIBONGE aisee!
DUH! Yani umenisoma hii mpaka huku?:-(

Hebu Barry WHITE avue watundu chupi basi  ,....
.....kwa -Can't get enough of your Love, Babe

 


Ajaribu akiwa na PAVAROTTI katika- My everything





Au tu JAMES BROWN ,....
....akatizie denge na kuzima na huyuhuyu PAVAROTTI ,....
....katika kidude-ITs' panya na NYAU's world




Yeah!

 Na nilipitia mpaka huku AISEE,...
.... hasa kama unajua ULAYA ya KASKAZINI najua  utajua huku ni wapi!:-(

Read more...

Wakati TUNATAFSIRI harufu ya CHOO TU KINUKACHO baada ya MHESHIMIWA kutoka MSALANI .....

>> Tuesday, June 26, 2012

.....yasemekana hutosha kuaminisha BAADHI YA WATU ,...
....kuwa ETI  wanajua stori  NZIMA ,...
....za kilichotokea CHOONI kishughuli!

Swali:
  • Na si inawezekana asili ya CHOO kunuka sio yule uliyekutananaye kwenye mlango wa CHOO kabla hujaingia ili nawe ukabili SHUGHULI za kimaisha?
  • Si unakumbuka DALILI ya GONO bado sio GONO  lenyewe kwa kuwa yaweza kuwa KIISHU hilo ni KASWENDE?

Ndio,...
... harufu ya CHOO labda ni dondoo tu ambayo,...
.....sio STORI kamili yani!

Swali:
  • Kwani unafikiri hata BAFUNI watu HUOGA tu hata na minyege yao ya kiutu uzima.... hata ile ya KISIASA ya kutaka kujeruhi MTU kisa anasiasa za mapenzi za mrengo wa pembeni?

Ndio,...
... labda hata harufu ya WALI vichakani,...
.... anukiaye ni NYOKA na wala sio UBWABWA!:-(

Ni wazo tu hili KAMANDA Mheshimiwa!

Hebu kimdodoso BOB MARLEY arudie-BAD CARD




Aongezee -Stiff Necked FOOLS





Ajaribu kuzima kwa- Time will tell






Ila tu hebu SHAI wabadili ili walainishe na kuzima tena kwa-If I Ever Fall In Love

Read more...

BAADHI YA...ya katika pitapita zangu DENMARK hasa COPENHAGEN!

Ndio,...
.... mimi ni MSAFIRI na bado niko njiani....

Hebu kwanza :

Kikumbi Mwanza Mpango aka KING KIKI aanzishe kwa-ISEE













































Yeah! Nipo!


Na nakutakia kila lakheri kwa UWANIALO, ufanyalo, au hata utakalo kuliacha hata kama ni LIMTU!











Au tu Kikumbi Mwanza Mpango arudishe busara kwa-KOKO






Hebu huyuhuyu MAESTRO aongezee-Kitambaa CHEUPE



Au azime tu kwa kutukumbusha HII yote ni MASANTULA,...
.... katika pini-Mtoto wa MJINI

Read more...

Kama ujuavyo ni ipi ni CHUPI yako......kwa UHAKIKA kabisaa!

>> Friday, June 22, 2012

Labda,...
... JUA unachojua,...
.... na jua USICHOJUA!:-(


Swali:
  • AU?
Ndio,...
... na yasemekana hata katika KUKIRI huwa  yasiyojulikana hurukwa  na wengi ,...
... kuna wakirio tu  wadhaniayo ni WAJUAYO.:-(
Swali:
  • Unafikiri kuna BINADAMU ajuaye KITU  kwa UHAKIKA?
Ndio,..
... labda UNAJUA!
 
 
Ni wazo tu hili NGULI!
SIKU NJEMA kwako AISEE!!


Hebu tena Linton Kwesi Johnson arudie - Want Fi Goh Rave

 


Linton Kwesi Johnson aongelee pia-More time



Mutabaruka akatizie denge kwa-DIS POEM



Halafu MUTABARUKA azime kwa-Whey Mi Belang?

 



Ndio nipo bado mtaani...











Read more...

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP