Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Jamii Forums-Mah​ojiano na Mwanzilish​i Mwenza-Max​ence Melo

>> Wednesday, June 20, 2012







 Maxence Melo Mubyazi Muanzilishi mwenza wa JAMII FORUM

Hello,

Kila mara, katika muongo au muda fulani,huibuka kitu ambacho kwa namna moja au nyingine,hugusa wengi na kuwa na msukumo fulani.

Bila shaka tunakubaliana kwamba katika masuala ya shughuli za watanzania mtandaoni,mtandao wa Jamii Forums,unaweza kukidhi haja ya nilichokisema;kugusa wengi na kuwa na msukumo.









Yapo mengi ya kujifunza pale Jamii Forums.

Lakini Jamii Forums ni nini,walianzia wapi,nini malengo?

Uhuru wa mipaka ya kujadili na kujadiliana unazingatiwa kwa namna gani?


Maswali ni mengi.

Hivi karibuni nilimtafuta mwanzilishi mwenza wa mtandao huo,Maxence Melo ili kuzungumzia masuala kadhaa.


Haya hapa ni mahojiano kamili ambayo naamini wasomaji wengi zaidi wana haki ya kuyasoma:



Nakutakia kazi njema.
Pamoja!

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP