Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kama ujuavyo ni ipi ni CHUPI yako......kwa UHAKIKA kabisaa!

>> Friday, June 22, 2012

Labda,...
... JUA unachojua,...
.... na jua USICHOJUA!:-(


Swali:
  • AU?
Ndio,...
... na yasemekana hata katika KUKIRI huwa  yasiyojulikana hurukwa  na wengi ,...
... kuna wakirio tu  wadhaniayo ni WAJUAYO.:-(
Swali:
  • Unafikiri kuna BINADAMU ajuaye KITU  kwa UHAKIKA?
Ndio,..
... labda UNAJUA!
 
 
Ni wazo tu hili NGULI!
SIKU NJEMA kwako AISEE!!


Hebu tena Linton Kwesi Johnson arudie - Want Fi Goh Rave

 


Linton Kwesi Johnson aongelee pia-More time



Mutabaruka akatizie denge kwa-DIS POEM



Halafu MUTABARUKA azime kwa-Whey Mi Belang?

 



Ndio nipo bado mtaani...











1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 4:39 pm  

Siku njema nawe pia Kadoda!!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP