Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kuhusu UONGOUONGO wa WAKUBWA hata kama sio kikubwa huwa KUNA adanganyikae PIA kitoto!:-(

>> Monday, June 11, 2012

Na ukipendacho kiupendavyo hata kama kikweli ni UONGO NANILII ki NANIHII,...
... labda AJULIAYE hata kwa bahati MBAYA,...
..... hunogesha UONGO kikweli kabisa na sio KINANILII,...
.... au hata KINANIHII!!:-(


Swali:
  • Si Unajua WAONGO wengine wanakudanganya vizuri kwa kuwa LABDA wana SURA nzuri za KIUONGO?

Ndio,...
... labda kuna usio wastukia wakikudanganya,...
...kisa SURA...
.... na wala hata sio ile SURA ya sehemu za chini KINANILII au KINANIHII!:-(

Ni wazo tu MHESHIMIWA!
Nakutakia Ijumatatu PANAAAA ,njema na yenye SHIBE!

Hebu Coumba Sidibe avalishe bangili kwa-Nale Na

 


Hebu The Ousmane Kouyate Band warudie- Kounady

 

Halafu kabla Tshala MUANA hajakatizia denge kwa ...



Au tu Tshala Muana arudie-Koumba

 


Apenyeze-Kalume






Halafu huyuhuyu Tshala Muana azime kwa-DEZO DEZO

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 2:08 pm  

mmhh Kadoda mpaka hivyo?

nyahbingi worrior. 8:11 am  

mkuu upo?

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP