Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kwa kuwa FULANI ndiye kasema...basi huo ni UPUMBAVU!

>> Saturday, June 09, 2012

Ndio,.....
.....kuna wafikiriao BUSARA zina wenyewe.:-(

Swali:
  • Si unakumbuka lakini kuwa kila MWEREVU anajinga lake hata kama HUJALISTUKIA,...... ingawa inawezekana unakataa tu KULISTUKIA?
  • Na  si kila JINGA  si lina kichocheo chake kichangamoto KIBUSARA hasa kama mhusika astukiaye sio  MJINGA kijinga?


Ndio,...
.... hakuna mmiliki wa PUMBA TU ,...
......hata kama unamdharau na kumuoanisha na PUMBA tu AISEE.

Swali:
  • AU?
Ndio....
... kuna UBINADAMU katika BINADAMU,....
..... na labda ndio maana JINGA lina BUSARA zake na PUMBAVU lina maurevu yake PIA aisee!
Ni hilo tu MHESHIMIWA!


Hebu Prince arudie-Crimson and Clover

 


Au hebu Charlie Murphy na Dave Chappelle wamtanie PRINCE

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 11:45 am  

mmmhhh!:-(

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP