Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Lameck Ditto: Alipotoka,​Alipo na Anapoota Kufika(Int​erview)

>> Monday, June 04, 2012

Habari ya Jumatatu!

Natumaini una nguvu tele na upo tayari kwa wiki nyingine ya mapambano.
Daima Mbele,Nyuma...


Tunapoianza wiki,ninalo la kukuhisha.


Ni mahojiano yangu na Lameck Ditto,mwanamuziki kijana ambaye sio tu kwamba ana kipaji,bali pia anaonyesha kuwa na nidhamu inayostahili katika medani ya muziki.Ametoka mbali na amepitia mengi.Hii hapa ni link ya mahojiano hayo:


Asante kwa ushirikiano.
Kazi njema.

Jeff

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP