Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Leo katika PITAPITA : DUH kumbe ZANZIBARI tokea enzi NA ENZI hakukuwa BONGO aisee!!

>> Saturday, June 30, 2012

Nilikuwa nimezoea kuita tu Tanzania  -BONGO,...
.... bila kuwa na SIASA au hata KUFAGILIA jina BONGO kama jina la TANZANIA hasa kwa kulioanisha na SIASA , DINI  au hata kwanini wajanja walianza kuiita TANZANIA Bongo NYOSO,...
......wakati jina lake ni TANZANIA .


Swali:
  • Si ushawahi kujikuta unatumia NIKI NEMU hata wakati unajua jina halisia la MHESHIMIWA?
Ndio,..
... nakumbuka kuna waliooanisha neno BONGO na Dar-es -Salaam tu,..
... ila sikutegemea kuamsha hisia za Mke wa Mzanzibari LEO kihivyo kitu kilicho zua hotuba kikusahihisha  kirefu sana kuwa WABONGO ni WABARA hao,...
... katika WAZANZIBARI  hakuna MBONGO.

Swali:
  • Hivi hii kitu MUUNGANO wa TANGANYIKA na ZANZIBAR..ni kwanini  usiri MWINGI.?
  • Na kwa nini inafikia mpaka  tunachukiana NDUGU kwa NDUGU ... mpaka siri nyingine za rafiki za CHUKI unakutananazo kwa MKE wa RAFIKI ambaye unafikiri nyie ni TAIFA moja huku MKUU wa TAIFA hasemi kitu?

Kumbuka tu uchukuliavyo KITU,....
... labda sio kila mtu NDIVYO akichukuliavyo HIVYO  hicho KIDUDE,...
....na siri nyingine atoaye ni MWENZA wake kimaisha kwa kuwa yeye kistaarabu ,..
..hayo ya CHUKI  huyaongelea USIPOKUWEPO ambako kama sio ´MSIKITINi wala KANISANI ingawa na LABDa wala sio hata,....
...  CHUMBANI.

Ni hilo TU!:-(


Hebu Mbongo  ,...
.....samahani Mzanzibari ,...
........yule MZEE Yussuf asawazishe kwa-ALAMBA





Mzee Yussuf alainishe zaidi kwa kuja ki-Daktari wa MAPENZI kwa kirefu



AT na Mwa4 wakatizie denge na-Vifuu Tundu


AT aongezee - BAO LA KETE




Au tu turudi BONGO ili Saida Karoli asigine-Wakati Ndio Huu

 

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP