Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Ndio... NAHUSUDU aisee!

>> Friday, June 01, 2012

Na katika KUHUSUDU...
..... kuna mengi na sio tu YALE  ya UHABA wa ufanyao kwa kuwa tu eti inanoga zaidi kwa kuwa ETI ni  ILIYO HABA maishani  ,...
..... na kwa hilo tu imewezeshwa kuonekana spesho,...
.... kitu kifanyacho HICHO kuwa moja ya kilengwacho KIRAHISI na AHUDUDUYE hata kama sio WEWE!:-(

Swali:
  • AU?

Na katika KUHUSUDU,...
... matege  ni usafiri mzuri tu  wa KIPENZI na PENGO ni MWANYA.:-(

Swali:
  • AU?

Ndio,...
.... UKIHUSUDU,...
....  wala uchi UNUKAO  hata yale MACHAFU ya JAMII  labda sio tatizo,...
...kama tu VILE isemekanavyo isivyo kuwa TATIZO kitatizo katika HATA ya UGALI  usioiva kwa nyama MBICHI ikiwa tu ni yaliyopikwa na UMHUSUDUYE!:-(

Swali:
  • AU?
Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!
IJUMAA na WIKIENDI NJEMA NGULI aisee!

Hebu KOFFI OLOMIDE arudie TCHA TCHO du Sorcier



Au tu Pepe Kalle azime kwa -MOYIBI

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 11:13 am  

:-(! Ijumaa njema nawe pia Kadoda!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP