Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Tatizo la UDINI wa TANZANIA .....kila MTU ni mjuaji hata kama kakaa KIMYA!

>> Friday, June 08, 2012

Na kwa kuwa UDINI ni maswala ya KIIMANI ya MTU,...
....kila MTU huvutia kwake na yake ndio KWELI.:-(


Swali:
  • Si unajua kunibishia RUKSA?
  • Na si unajua  hata walio kaa KIMYA wenye IMANI ZAO hata za UONGO huamini waaminicho ni KWELI kabisaaa?

Ndio,...
.... TANZANIA inakoelekea ni KASHESHE mtupu!

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!
Ijumaa na WIKIENDI njema!

Na hebu tubadili kwa kumuaga Didier Drogba tena...

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP