Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Uzuri wa za CHAPUCHAPU ikiwa gesti ni MIGOMBANI,....

>> Thursday, June 28, 2012

....yasemekana HUWA  hulalamikiwi kama hukuridhisha mtu KIOGAZIMU,...
......kwa kuwa ETI kijaliwacho sana wakati huo eti YASEMEKANA ni kuwa,...
... kama hamjafumaniwa KISHUGHULI wakati mmekutanisha viungo vyenu vya siri,...
....basi MMESHAFANIKISHA hata kama ni kiMIGOMBANI gesti KISHUGHULI!!:-(


Swali:
  • Kwani hujagundua YASEMEKANA  lawama nyingine nyingi LABDA  ni mazingira tu yaletayo hata KIBEZI cha kulaumu au tu kufanya kisichostahili KULAUMIWA KIGEUKE KUWA lawama?
  • Kwani UNAFIKIRI kuna hata atakaye lalamikia hakuna MAKANDE wakati katika mazingira yake hakuna MAKANDE?

Ndio,...
... LABDA mambo mengine hutafUtiwa tu LAWAMA kwa kuwa umuhimu wa UGALI  wake labda wala sio LADHA,...
.... ila ni kibebwacho tu na UGALI hata kama sio UGALI ndio   kiletacho KUSHIBA!:-(



Ni wazo tu hili NGULI!
Hebu SIZZLA a -DRY CRY



BUJU Banton arudie-Boom Bye Bye



Au tu tena SHABBA RANKS azime kwa-Muscle Grip

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 5:39 pm  

mmmmhhhh! kazi ipo!!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP