Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

CHAKULA chalika hata ndani ya CHUMBA cha CHOO cha STENDI!

>> Friday, July 13, 2012

Kinyaa ni LAKSHARI kwa mwenye NJAA,...
..... na ukiumwa vizuri NJAA ,...
... popote ni mahali pakulia MAAKULI!

Swali:
  • Na si unakumbuka MAHALI popote ni KITANDA ukichoka vizuri?
  • Na si NGURUWE hustukiwa UHARAMU wake kama kuna kingine kichaguo kiwezacho KUGIDWA?

Ndio,...
... kama UNACHAGUA,...
... hujabanwa vizuri na KIBANO bado.

Ni wazo tu hili NGULI!

Hebu MSAFIRI ZAWOSE aingilie kati kwa-Mkungwe

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 2:27 pm  

Bonge la wazo maana ni kweli ukibanwa hata na kichaa twende tu...Duh Kaaaazi kwelikweli...

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP