Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

DONDO za kushiba UBWABWA wa BURE Msibani:...awezaye kula sana ni MWEMBAMBA!

>> Thursday, July 05, 2012

Yasemekana WANENE,...
... unene tu na mimafutamafuta NI TOSHA kuua ulafi,...
...kwa kuwa hufanya uwezo wa TUMBO kutanuka upungue.


Kwa hiyo jihadhari na wembamba KWENYE MNUSO,...
... kama nia ni kupata shea kubwa katika sinia la UBWABWA ,...
...hata msibani!:-)

Swali:
  • Unabisha?
Ni hilo tu MUKULU!


Hebu deku...

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP