Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Halafu nikaonyeshwa CHUPI kidooooogo!

>> Sunday, July 15, 2012

Kwa kuwa KIMAISHA kitakwacho zaidi labda sio chupi kama chupi haina kilichovalishwa CHUPI,....
... kuonyeshwa CHUPI ya KIMAISHA HATA KWA SANA yaweza kuwa ni kutiana tu MAJARIBUNI kimaisha,...
.. kitu kiwezacho kugeuza MTU akawa MWIZI au tu JAMBAZI wa yaliyofichwa na CHUPI za KIMAISHA,...
.....hata kama inaweza kuwa ni kitu CHANYA kikuleta matumaini UKIONA CHUPI,...
... kwa kuwa inarahisisha kikuhakikishiwa angalau uendako ndiko kuliko na MANING'INING'I  yaliyofichwa na CHUPI!:-(

Swali:
  • Si inasemekana ukitaka kupandisha JAZBA yayahamu si lazima uonyeshwe KIDUDE chenyewe KIKIPENGELE chenyewe cha KIMAISHA?



Ndio,...
.... labda ni muhimu hata kuonyeshwa tu mahali UFALME ulipo halafu utafute mwenyewe KIBIBLIA, KORANI, kimatunguli, kikujipendekeza ,kikulazimisha ....
..... au hata  KIKAMASUTRA kikikulainisha ,....
.. jinsi ya kuufikia ufalme wa miungu ya  KIUTAMU,...
... hata kama sio tu NI  ule UFALME wa MBINGUNI za kwenye CHUPI kiutamu .:-(


Swali:
  • Au?

Halafu akanionyesha CHUPI kidoooogo,...
...na kwa kuwa CHUPI yenyewe ilikuwa CHAFU kimaisha,...
...nikajua chakufanya kikukimbilia upande MWINGINE usio na CHUPI!:-(

Ni wazo tu KIMAHUBIRI jumapili HII!
Jumapili NJEMA Nguli!

Hebu tubakie BAGAMOYO na JHIKOMAN ,...
....katika kidude-Moyo UNADUNDA



JHIKOMAN aongezee dozi kwa - AFRO Reggae



Ila Urge Overkill wazime kwa-Girl You'll Be a Woman Soon




Ndio,....
.... NIPO!




























8 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 2:05 pm  

Nimeyapenda mahubiri ya jumapili hii..na pia naona unafurahia likizo kikwelikweli:-) nimependa na nimetamani

Mija Shija Sayi 2:37 pm  

Picha ya tano kutoka juu umefanana na Mrisho Mpoto kama nini yaani..

Simon Kitururu 2:43 pm  

Pamoja sana mtoto mzuri Kadala!@Yasinta Sijawahi kumuona Mrisho kashika bia lakini!:-( @Mwanamke wa shoka MIJA

Yasinta Ngonyani 2:51 pm  

Halafu naona ume/ulijiandaa kwelikweli katika kwenda na hilo boti..halafumchomo huo mmmhhh..je ulikuwa huogopi huko maparini?...

Simon Kitururu 2:57 pm  

KONDOMU muhimu kikujiandaa... na ukijiandaa ... Pori lolote lina kipenyo aisee... kitu kifanyacho MDUNDIKO wowote hata usio ule wenye wimbo`` HAVINITISHITISHI, havinibabaishi... ´´---kawaida aisee kikutotisha!!@Kadala aka Yasinta Ngonyani

Yasinta Ngonyani 3:03 pm  

Haya bwana..kumbe ni jasiri..Kadoda:-)

Yasinta Ngonyani 3:41 pm  

Kadoda hizo nyama sio za huyo bata kwenye picha?..LOL

Interestedtips 8:34 pm  

Nimependa ujumbe wa leo, pia matukio ya picha yako bomba sanaaaa

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP