Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kuhusu rafiki wa UTOTONI uliyeachana naye huku KANONA bila CHUCHU PANA utotoni.....

>> Sunday, July 01, 2012

.... HUYO yawezekana alibakia hukohuko UTOTONI,...
 .... hata kama utakutananaye UKUBWANI akiwa na JINA lilelile ingawa anamabonge ya HOTELI za MTOTO.!

Swali:
  • AU?
  • likaka ulilochezanalo Utotoni kidali POO .. unafikiri litabakia hivyohivyo Ukubwani hata kama halitaota manyoyanyoya ya KIKUBWA?
Na urafiki wa UTOTONI,...
.... labda hauhusiki UKUBWANI,...
.... na liyekuwa RAFIKI yako UTOTONI sasa kakua,..
.... kapitia mambo mengi ambayo YAMEMBADILISHA,....
.... na mwisho wa siku unaweza kustukia KIKUMBUKUMBU ,...
... rafiki yako wa UTOTONI alibakia kulekule UTOTONI,...
... ukubwani huyo kawa MTU mwingine AISEE.

Swali:
  • Si unakumbuka kunibishia RUKSA?
  • Kwani hujawahi kukutana na rafikiyako wa zamani halafu ukaanza kujiuliza hivi ilikuwaje mliwahi kuwa MARAFIKI kwa kuwa siku hizi mambo yake ni VALUVALU kama Simon Kitururu?

Ndio,...
... labda pia ya KUMBUKUMBU hurembwapia na KUMBUKUMBU,...
... lakini kihalihalisi labda hata yakumbukwayo hayakumbukwi kwa USAHIHI kiyalivyokuwa kwakuwa WATU wanamchezo wa KUREMBESHA kumbukumbu ili tu iwe ``YA KALE ni DHAHABU´´!:-(

Ni wazo tu hili!
Jumapili NJEMA!



Hebu Bootsy Collins alainishe kwa- Munchies For Your Love




PRINCE aingilie tena...




Au tu Oliver N'goma abadili tu kwa -Alphonsine

 


Isley Brothers waturudishe pale pale kwa -SUMMER Breeze






Halafu the Commodores wazime,..
.. kwa kukumbusha I  am -EASY like SUNDAY Morning

3 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

chib 4:01 pm  

:-))

chib 4:02 pm  
This comment has been removed by the author.
Simon Kitururu 6:44 pm  

Ndio Hapooo!:-)@Papaa CHIB

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP