Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

STORI fupi kabla kila kukicha TANZANIA hakujawa na MIKOA mingine MIPYA lukuki ... kama siku HIZI !

>> Wednesday, July 11, 2012

.....kabla MIKOA haijaongezeka TANZANIA BARA ......

....Waheshimiwa wakijadiliana CHOBISI!




Mheshimiwa wa kwanza:
  • Si ZANZIBAR inataka kujitenga eeh?
Mheshimiwa huyohuyo wa kwanza:
  • Basi ngojea tuongezee MIKOA Tanzania BARA ili Wabara  wajisikie Njombe haikuwa IRINGA, na ARUSHA ni kubwa vilevile ... na kwa  wengine wale tutunge KATAVI na.... ili hata ZANZIBAR ikijitenga kipande kimoja cha MKOA wa MOROGORO tukiite ZANZIBAR.

Waheshimiwa wote kwa pamoja kikaoni:

  • Bonge la AIDIA aisee.. ila turefushe kikao .. si unajua tena MARUPURUPU tena?

Halafu waheshimiwa wote kwa pamoja karibu na mwisho wa KIKAo :

  • Eee Bwana si wajanja kweli aisee!

Mwisho wa STORI ya KIZUSHi kitungo dhaifu!!

Hebu turudishe WAGHAIBU ,...
....ambao haki ya nani ELIMU ZAO ,...
... ndio tuzisifiazo wenyewewenyewe kama KIPIMO nani MSOMI zaidi....

. ... tustukie tu KIMAGHARIBI  ya PERFECT Day ki -LOU REED


Lou REED huyuhuyu aongezee tena - Walk on the Wild Side
 


Au tugewe tu ALLAH HOO kimashariki na
-Nusrat Fateh Ali Khan



NDIO ni UCHOKOZI tu HUU aisee MHESHIMIWA NGULI!

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP