Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Swala la MHESHIMIWA msagaji KUWA liko MAHAKAMANI kwahiyo TANZANIA tusiliongeleee!

>> Thursday, July 26, 2012

Na kirahisi unaweza kukatwa kauli kisa  uko TANZANIA,...
... na ujanja siku hizi ni kudai tu SWALA liko MAHAKAMANI kwa hiyo LISIJADILIWE!



Swali:

  • AU?
  • Si umestukia siku hizi TANZANIA kisingizio ni kuwa swala liko MAHAKAMANI na kulijadili ni KUINGILIA mahakama?




 Na swala hata la KITUMBUA kama  liko MAHAKAMANI aisee,...
 ...  hatutakiwi KULIJADILI hata kama ni la kuhusu MHESHIMIWA KITUMBUA mswahilina wa KILOKOLE ambaye ni MALAYA na kijadiliwacho ni kipengele cha umalaya wake tu ambacho kina hasiri mahitaji yako ya KITUMBUA,...
... labda SHAURI ZAKO aisee kama uko BONGO kibusara na heshima za KIBONGO!:-( 


Swali:


  • Si unakumbuka LABDA  umejitakia mwenyewe kunisoma na UHESHIMIWA wako hata haya ambayo yako MAHAKAMANI za WAHESHIMIWA NYOKO ambayo labda sio yakujadili?:-(



 Ndio,... 
...TANZANIA bomba siku hizi kikujulia kukataza kistaili MAJADILIANO,...
..... na sio kama tu ENZI za NYERERE ambazo kikufungwa mdomo ulikuwa unafungwa kikweli MDOMO usijadili kisa unapinga UJAMAA !:-( 

Ni hilo tu NGULI!
Na ni wazo tu hili AISEE!:-(




Hebu ghafla Loketo warudishe -Extra Ball

 

 Dany Engobo et les Coeurs Brisés warudishe-Feeling

 


Halafu  Ghafla Alpha Blondy ndiye  azime kwa - Sweet Fanta Diallo

 


  Ndio,...
 ...nilikuwepo walipokuwa  EXTRA BONGO....





































1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 2:45 pm  

nimeipenda T-shirt yako !!!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP