Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kama unataka KUZIDISHA ujanja....

>> Wednesday, August 01, 2012

....LABDA  fanya ambayo wengine hawakoradhi kuyafanya,...
....na wala sio kuyafanya KIUJANJA!


Swali:

  • AU?
  • Na wakati unazidisha ujanja si unakumbuka kuwa kitu KUZIDISHA ujanja ... KUNA KUZIDISHA mpaka mambo yanabakia ni ya UJANJA ujanja TU kitu kifanyacho mtakakuchomeka mbele anaweza kuchomekwa NYUMA?


Ndio,...
.... Ukizidisha kuliko wengine,...
.... utajulia kuliko wengine hata kama ni KUKATA KIUNO tu,...
.....LAAAAKINIIIII!!!11!:-(

Ni wazo tu hili BINGWA!



Hebu Earth WIND and FIRE warudishe kabla ya mwezi ile ndude-SEPTEMBER



 OKEI sasa - Lets Groove

 


Ndio,...

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 1:58 pm  

nimeipenda picha hii:-)ya mwisho sijui ulikuwa unacheza?

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP