Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Shenzi MIMBA,... kwa MCHEZO wa kufichua kwa UHAKIKA nusu tu ya wafanyao NGONO!

>> Friday, August 24, 2012

Ndio,....
.... MWANAUME unaweza kana MIMBA si yako AISEE!:-(


Swali:

  • Si abebaye MIMBA ni MWANAMKE?
  • Si kabla ya ushahidi Mwanamume yoyote aweza kudai ni BIKIRA?


Na,....
.... kama weye ni KIDUME,....
....na  huna heshima kwa WANAWAKE ,...
....``SHAME on YOU!´´ mpaka kwa Kiluguru!


Ni wazo tu hili BINGWA!
Ijumaa NA Wikiendi NJEMA Nguli!

Hebu Fu-Schnickens na Shaquille O'Neal warudie-What's Up Doc?

 


Onyx  wabonyeze tena kwa- Slam

   

 Onyx tena wa -Slam Harder


   


 Halafu tu Lost Boyz wazime kwa - Love, Peace And Nappiness

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 2:10 pm  

Kukataa mimba....wapo wengi tu..Bonge la ujumbe wa IJUMAA. Ijumaa njema Kadoda.

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP