Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati AIBU YANGU labda inachagua WALE wa Wakuwaonea AIBU!

>> Thursday, August 09, 2012

Na kunawatonyao  akina AKINA wakina ,...
... SIMON KITURURU eti waache kutia AIBU kisa wamesikia AIBU ,...
... lakini katika ki-AIBU...


SWALI:

  • SI inawezekana hata bila kuangalia KISAIKOLOJIA labda bado  kuona aibu ni moja ya UDHAIFU fulani ambao huletwa na ambacho MTU hana nguvu ya kukivalisha chupi ili kisitie aibu KIVYAKE?



  • Si uonealo aibu kama ungekuwa unanguvu nalo ungezuia lisitokee na kwa kuwa unasikia aibu basi lina kera kwa kuwa MOJA YA KERO kiaina ni kiaina LINAKUFUNULIA KIMPANUO kukujulisha kuwa weye kuna ambayo kikuyazuia ni  DHAIFU?



Na kitiacho AIBU,...
.... labda ni KILE watu wajifunzacho TU lakini!:-(

Swali:

  • AU?




Na na kama UNASIKIA AIBU,...
.... labda UMEJIFUNZA KITU kuhisi AIBU ambacho labda MWALIMU MKUU ni,...
 .....JAMII uifichayo SIRI,...
...Limpenzi ambalo unataka ulipe ya SIRI,...
..... MINDUGU yako ambayo unataka IKUHESHIMU,...
......  hata kama tutairuka MIRAFIKI YAKO na MTUZ zote zikuzungukazo.

Nimeacha ila...SWALI:

  • SI unakumbuka yamzungukayo hata kwa kujifanya ZUBEDA labda siyo yamzungukayo SIMON KITURURU au weye kitu kiwezacho kutenganisha ni nini kwa HALIMA  ni aibbu kama tu kwa Mr Johnson na Hassani ?
  • Na LAKINI si hata MPENZI huweza kujifunza KUTOSIKIA aibu hata kuachia ushuzi mbele ya MPENZI wake kisa KAJIFUNZA tu KITUZ?


Na BINADAMU kama anasikia AIBU,....
.....labda AMEJIFUNZA kusikia AIBU kwenye KITU ambacho kama ni ambacho kinafanyika na BINADAMU na kinawezekana kwa MTU,....
.....labda hicho wala sio cha kuonea AIBU kwa BINADAMU,...
... kwa kuwa katika hicho BINADAMU kaweza na LABDA  katika hilo BINADAMU awezalo,...
....LABDA hilo  sio tena ni swala la KUBABAISHA Kibinadamu,...
.... na KULIONEA aibu ni kudhalilisha UBINADAMU!:-(

Swali:

  • AU?
  • Kwani ni UMUNGU tu ndio unaostahili SIFA na UBINADAMu  angalau kidogo hauwezihata kukubalika katika UDHAIFU wake?
Ndio,...
.... na AIBU hata kama sio kwako!:-(


Na HILI ni wazo tu hili aisee MHESHIMIWA!:-(



Hebu REMMY ONGALA aingilie kwa kurudia--Tembea Ujionee


   


 Scarface akatizie denge kwa-Recognize

   


 Halafu Notorious B.I.G azime tena  kwa- Hypnotize

 

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 1:54 pm  

Mmmmmhhhh!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP