Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

WAKATI tunasubiria mtoto akue ili iwe halali katika JAMII kumtoa BIKIRA!

>> Monday, August 13, 2012

Na kuna yasubiriwayo,...
... hata kama hayana BIKIRA na sio ya MTOTO lakini!
Swali:

  • AU?


Na kumbuka kuwa,...
.. yasemekana BIKIRA haikui AISEE!:-(

NI hilo tu MHESHIMIWA!
Jumatatu njema aisee weye NGULI aiseee !




Hebu tubadili kwa msaada wa 2PAC akidai-How DO U WANT it

   


 Au tu 2PAC azime kwa-Shorty Wanna Be A Thug

 

Nipo...!:-(


















1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 12:24 pm  

Naona una wakati mzuri kweli nahisi wewe ulikuwa mshindi...Maisha ni mafupi kwa kweli...Safi sana.

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP