Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati TUSI huwa HALIUI!

>> Saturday, August 11, 2012

UKITUKANWA ,...
... labda ni DAWA kwa aliyetukana AISEE,...
... kama wakati anatukana anajitibu  MHENGEUKO wa tindio AKILINI!:-(


Swali:

  • SI unajua inasemekana TUSI haliui?


Na ukilichukulia TUSI usiriasi,....
.... laweza kukutengenezea zaidi ya UMIVU,...
.... hasa kama litakufanya upungukiwe kujiamini katika ya KUJIAMINI maishani!:-(

Ni wazo tu hili NGULI na wala usisitishe kujamba KIMAISHA!



Hebu FRANKIE PAUL arudishe-SHUB IN

   


 Au tena tu huyuhuyu FRANKIE PAUL azime kwa-SARAH

Bado nipo AISEEE...









































Sijui kwanini ila GHAFLA hebu MACKA B aingilie kwa-Everybody Loves Bob Marley

 



Au tu MACKA B azime kwa-DON'T JUDGE ME

 

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Interestedtips 5:31 pm  

Napita kusalimia, jumapili njema pia

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP