Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

DAR mpaka MORO!

>> Thursday, September 20, 2012







Yeah!

Ndani kidogo ya MORO....





Ni hilo tu MHESHIMIWA!
....na NIPO aiseee!




Hebu ghafla EDDY GRANT aingilie kwa-HELLO AFRICA

   

 Au tu The Chakachas wazime kwa nyundo - Jungle Fever

 

6 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 9:32 am  

Uwe na wakati mwema huko Moro au sijui Dar au nisema kwa ujuma Tanzania /nyumbani. Twasubiri Zawadi/mapochopocho:-)

Simon Kitururu 10:39 am  

Mmmmmh!

Yasinta Ngonyani 11:51 am  

vipi mbona mgono mkubwa sana Kadoda..nimekumiss!!

Anonymous 3:43 pm  

Mkuu mbona hatujatafutana mkuu?Mi niko Dar,ukipata wakati tukutane mkuu.

Rasta hapa.

John Mwaipopo 5:02 pm  

hiyo ambayo hujaanza kuinywa nisogezee tafadhali. uwe na wakati bomba hapo moro

Simon Kitururu 7:27 pm  

@Wote! Pamoja sana!


Rasta ntakudaka tu ...Ila nipo.

Karibu!:-)@Nguli John.


Wala sijaguna bado aiseee... Acha matusi!:-) @Kadala

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP