Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati YALILIWAYO LABDA hayako UCHI hivyo!

>> Monday, October 29, 2012

KUNA vililiwavyo kwa FURAHA lakini,...
.... WAZIWAZI aisee ,...
...hata kama ni KWA kikusengenya MAREHEMU msibani!:-(


Swali:
  • AU?
Na KULIA kunahitaji NGUVU ya kulia,...
... kwa hiyo labda aliaye,..
... huyo hata kishibe,...
... ananguvu,..
... hata kama kipindi hiyo,...
... Nguvu yake ni ya kulia tu ,...
... na hata kama mlio WENYEWE huo sio ule wa kusikilizia UTAMU.:-(



Ni hilo tu!
Na ni wazo tu hili MHESHIMIWA!



Ni kweli NIPO...




Hebu BARON aongeleee...-Mother Earth is Crying





YEAH.......
...hebu King Masco arudie - Mao Mao


2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

emuthree 11:51 am  

Wazo jema mkuu tupo pamoja

Yasinta Ngonyani 1:03 pm  

Mhhhh!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP