tag:blogger.com,1999:blog-28243782.post3367841032404185463..comments2023-11-16T21:37:41.331+02:00Comments on Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI: Ualimu wa MWANAFUNZI!!Simon Kitururuhttp://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.comBlogger2125tag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-25641465706414422622010-11-15T10:11:49.775+02:002010-11-15T10:11:49.775+02:00@Mwalimu Matondo:Umenena,...
....ingawa sikulenga ...@Mwalimu Matondo:Umenena,...<br />....ingawa sikulenga nyie WALIMU!<br /><br />Lakini si umestukia kuwa labda NI KWELI kuna afundishaye kupika UGALI afikiriaye anajua yote yahusuyo UJI?Simon Kitururuhttps://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-66198087315373929292010-11-15T06:47:20.236+02:002010-11-15T06:47:20.236+02:00Mtakatifu: Leo unatupiga vijembe walimu nini?
Ni ...Mtakatifu: Leo unatupiga vijembe walimu nini?<br /><br />Ni kweli. Katika kufundisha kuna kujifunza kwingi pia na kama alivyowahi kusema mwanafalsafa mmoja "tunafundisha kile tunachotaka kujifunza tena na tena mpaka tuhakikishe kwamba tukifundishacho na tujifunzacho ni kitu kile kile!"<br /><br />Bila kuzingatia busara hii hapa Marekani darasani kwaweza waka moto hasa kama unafundisha (au niseme unafundishwa na) wanafunzi wa shahada ya uzamifu!Masangu Matondo Nzuzullimahttp://matondo.blogspot.comnoreply@blogger.com