tag:blogger.com,1999:blog-28243782.post4550055381967151087..comments2023-11-16T21:37:41.331+02:00Comments on Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI: SHENZI mimi au YULE!!Simon Kitururuhttp://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.comBlogger2125tag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-5044998320645858682008-06-27T02:56:00.000+03:002008-06-27T02:56:00.000+03:00@Egdio:Nafikiri usafiri wa aina hii utaingia hivi ...@Egdio:Nafikiri usafiri wa aina hii utaingia hivi karibu bongo.Kuhusu matusi najiuliza sana saikolojia ya binadamu ina kemikali zake zimfanyazo mmoja achukie na wingine asinune.Simon Kitururuhttps://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-18096915103639970122008-06-25T21:37:00.000+03:002008-06-25T21:37:00.000+03:00Mimi huwa nashangaa sana mtu anapotukanwa na akaka...Mimi huwa nashangaa sana mtu anapotukanwa na akakasirika,mimi hata mtu aje na kilo 800 za matusi huwa sikasiriki.<BR/>Kuna kipindi fulani mdada mmoja sera zake na mimi hazikuelewana,basi ili amalize hasira zake kwa matusi.<BR/>Ni insha za matusi kila siku na kila akiniona anajua nitakasika mimi wala.<BR/><BR/>Kule kwetu uswahilini matusi ni kitu cha kawaida sana.Si mtoto wa mkubwa utasikia K******* zako huyu atajibu basi tu ni kitu cha kawaida kwao.<BR/><BR/>Hiyo picha ya 3 mpaka 5 usafiri poa hivi bongo usafiri wa namna hiyo si unalipa? udosini ndio kwao hiyoEgidio Ndabagoyehttps://www.blogger.com/profile/09536451761854031212noreply@blogger.com