tag:blogger.com,1999:blog-28243782.post6652590056755677851..comments2023-11-16T21:37:41.331+02:00Comments on Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI: Ile kitu ``FANYA nisemavyo na usifanye NIFANYAVYO!ยดยด- wakati BADO nao ni ushauri!:-(Simon Kitururuhttp://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.comBlogger2125tag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-50903583625942328262011-03-06T02:27:51.049+02:002011-03-06T02:27:51.049+02:00@Mkuu Malkiory:Ubin-adamu ni kweli si mchezo! Na ...@Mkuu Malkiory:Ubin-adamu ni kweli si mchezo! Na kuhusu huo usemi nahisi ndio kithibitisho tuko wengi washauri tu kwa maneno na sio kivitendo Mkuu!<br /><br /><br />Si umestukia mpaka ahadi za wanasiasa wetu wakati wanatafuta kura na wakati huo washaurivyo wananchi?:-(Simon Kitururuhttps://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-41271157256328982202011-03-06T01:00:28.061+02:002011-03-06T01:00:28.061+02:00Mkuu Kitururu naona umeamua kumwaga nondo ya nguvu...Mkuu Kitururu naona umeamua kumwaga nondo ya nguvu.Ubin-adamu si mchezo.<br /><br />Lakini vipi kuhusu ule usemi wa kwenye biblia kwamba usifuate matendo yangu bali yale nikufundishayo!malkioryhttps://www.blogger.com/profile/05134160827358623563noreply@blogger.com