tag:blogger.com,1999:blog-28243782.post7813527448494029770..comments2023-11-16T21:37:41.331+02:00Comments on Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI: Leo katika konspirasi: FREEMASONRY!Simon Kitururuhttp://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.comBlogger4125tag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-35575376421205977202011-03-05T19:13:00.722+02:002011-03-05T19:13:00.722+02:00@Mkuu Goodman: nakunukuu: ``THE BEST AND THE WORST...@Mkuu Goodman: nakunukuu: ``THE BEST AND THE WORST OF WHAT MAKES US HUMAN YOU WILL FIND IT WITH THE FREEMASONS.ยดยดยด- kuna neno hapo linniwazishalo.<br /><br />Ila kwenye hili swala utakutana na opposing views na kila mtu anadai anauhakika na ajuacho kitu kifanyacho swala zima la FREEMASONRY ni delicate kwangu kiasi fulani!:-(Simon Kitururuhttps://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-5400410349719421542011-03-04T14:11:45.698+02:002011-03-04T14:11:45.698+02:00Mkuu asante!
Kama ungejuwa, nami juzi nilikuwa na...Mkuu asante!<br /><br />Kama ungejuwa, nami juzi nilikuwa nasoma kuhusu mambo hayohayo, lakini baada ya video uliyeonyesha naona ni ndoto za mwendawazimu kwamtu kutegemea anaweza kupata pumba ni Ipi na mchele ni upi.<br /><br /><br />Kama nilivyosikia katika hizo video zao hayupo hata mmoja aliyetamka wao eti ni wanautulivu??? (PACIFISTS) au watakatifu. Hata nao watakatifu tunajuwa ikibidi damu wamwage wanamwaga tu.<br /><br /><br />Sasa kweli jamaani kigumu kuelewa ndio nini?<br /><br /><br />Hawa ni jamaa wenye nia nzuri (THEIR MORALITY IS IN THE RIGHT PLACE).<br /><br />Wamejiunga na chama chao hicho ili kwendeleza misingi ya mawazo yao kuhusu ulimwengu....(UMOJA NI NGUVU).<br /><br />Wanasimamia BROTHERLY LOVE (ujamaa) na kama wewe ukiwa mmoja wao wakati Raisi wa nchi yako naye ni mwanachama ambae hua mnakutanaga huko LODGE ("msikitini"/ "kanisani" lenu la FREEMASONS) je unafikiri hatakwonyesha hiyo BROTHERLY LOVE akisikia matakwa yako?<br /><br /><br />Mpya lakini kwangu ni kwmamba hata Waswahili nao pia na Waarabu (AMERICAS AND THE MIDDLE-EAST) wanaweza kuwa wanachama. Yapili ni kwamba wanapiga kura ya kusema ukubaliwe au ukataliwe. Nilikuwa sijui.<br /><br />Nitakwenda kupiga hodi siku moja huko nione nitakubaliwa au kukataliwa; lakini nafikiri kuwa mwanachama siyo jambo la kufanyia mzaha. Hawa watu wanaupenda ulimwengu wao hadi kufa, vilevile wanajiamini wao ni hodari katika mambo yote yale unayeweza kukutana nayo duniani.<br /><br /><br />Kwakufafanua zaidi na hiyo sentensi: walieleza kwaKizungu hivi: [TO MAKE GOOD MEN BETTER]. Sasa neno "GOOD" linayo maana yapili: "hodari". Na ndio maana kwaKiingereza unaweza kusema; "MR PHIRI IS A GOOD THIEF" ikiwa na maana "ALIKOPITA HUYO PHIRI WATU WANALIA NYUMA YAKE KWA WIZI"<br /><br />Maana yake, kwa maoni yangu: THE BEST AND THE WORST OF WHAT MAKES US HUMAN YOU WILL FIND IT WITH THE FREEMASONS.Goodman Manyanya Phirihttps://www.blogger.com/profile/15369122107376580214noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-80463898689480720982011-03-04T08:07:14.437+02:002011-03-04T08:07:14.437+02:00@Rachel: Ntafanya hivyo Dada yangu!@Rachel: Ntafanya hivyo Dada yangu!Simon Kitururuhttps://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-6238284087632302652011-03-04T00:29:29.250+02:002011-03-04T00:29:29.250+02:00Nami nasubiri umalizie hizo nafaka@ Kaka Kitururu...Nami nasubiri umalizie hizo nafaka@ Kaka Kitururu!Rachel Siwahttps://www.blogger.com/profile/03819895731823514877noreply@blogger.com