tag:blogger.com,1999:blog-28243782.post8990399868792525826..comments2023-11-16T21:37:41.331+02:00Comments on Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI: Maisha ya HABARI kwenye Televisheni!Simon Kitururuhttp://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.comBlogger3125tag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-9100306663089951932011-03-15T12:50:22.420+02:002011-03-15T12:50:22.420+02:00@Rachel +Chib: Ee bwana foleni ni ndefu kweli yan...@Rachel +Chib: Ee bwana foleni ni ndefu kweli yani na na kilometa kadhaa yani bado ilinifike kwa Babu!<br /><br />Ntaangalia uwezekano wa take away kwako Rachel na kwa CHIB nnikipata kikombe ujue na wewe umepona kwa imani!:-)Simon Kitururuhttps://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-24124128470883361622011-03-15T11:52:07.736+02:002011-03-15T11:52:07.736+02:00Wanahabari wako sawa duniani kote. Nakubaliana na ...Wanahabari wako sawa duniani kote. Nakubaliana na swahili ...., kwana hata Tz, Babu wa Loliondo kashika chati hadi masuala aya Dowans yamesahaulika.<br />Simon, ukiwa unakunywa kikombe cha dawa ya Babu, uwe unanikumbuka na kwa imani nami nitapata dozi ya kinga auuu :-)chibhttps://www.blogger.com/profile/14601803334608365440noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-23355846023270531902011-03-12T20:35:21.002+02:002011-03-12T20:35:21.002+02:00Babu mchungaji yuko juu sasa,kila kona babuuuuuuu,...Babu mchungaji yuko juu sasa,kila kona babuuuuuuu,haya sijui kinatokea nini sasa ilibabu azimwe,mara myingi habari zinakuwa mbaya/masikitiko zaidi kuliko za furaha, kwangu mimi nikifuatilia habari mwanzo mwisho hudhuni nyingi sana,hasa za Afrika yale mabaya ndiyo yanaongoza BBC/CNN ........,Hivi kwanini au ndiyo zina mvuto kwao?<br /><br />ok kaka ngoja nikuache ujiandae kwenda huko kwa babu lakini foleni bado kubwa sana tutakukosa hapa @kaka Kitururu! akikubari take away unichukulie hhahaahaaaa!Rachel Siwahttps://www.blogger.com/profile/03819895731823514877noreply@blogger.com