tag:blogger.com,1999:blog-28243782.post960857246135406884..comments2023-11-16T21:37:41.331+02:00Comments on Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI: Nimerudi KIBANANGENGE kijiweni WAKUU!Simon Kitururuhttp://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.comBlogger12125tag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-46291095453052423552012-01-18T16:48:04.786+02:002012-01-18T16:48:04.786+02:00Asanteni wote jamani !Pamoja Sana!Asanteni wote jamani !Pamoja Sana!Simon Kitururuhttps://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-7850232284778801492012-01-17T11:08:36.483+02:002012-01-17T11:08:36.483+02:00Mtakatifu umekuja kuwatamanisha tu watu na kuondok...Mtakatifu umekuja kuwatamanisha tu watu na kuondoka tena?Yasinta Ngonyanihttps://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-74429619212708949672012-01-16T18:57:10.880+02:002012-01-16T18:57:10.880+02:00Nami naungana na Wadau kufurahia rejea yako kwenye...Nami naungana na Wadau kufurahia rejea yako kwenye shoka...maana yake kila mtu na mzigo wake, Bwana; na siku haswa ya kupumzika ni kule kaburini!<br /><br /><br />Naamini umerudi kwa nguvu mpya. Na Mungu akubariki uwe na uwezo wako wa kawaida na zaidi mwaka huu!<br /><br />Hongera sana tena, Simon; kwa blogu ya kuvutia!Goodman Manyanya Phirihttps://www.blogger.com/profile/15369122107376580214noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-65257826378624526162012-01-16T08:02:59.752+02:002012-01-16T08:02:59.752+02:00Karibu tena Mtakatifu. Bila shaka kuna mengi uliyo...Karibu tena Mtakatifu. Bila shaka kuna mengi uliyokuja nayo. Tunayasubiri.<br /><br />Natumaini kwamba mwaka mpya ulikukuta salama huko ulikokuwa wewe pamoja na wapendwa wako. Karibu sana !!!Masangu Matondo Nzuzullima (MMN)https://www.blogger.com/profile/17267350894732424957noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-15543229088900118572012-01-16T02:07:19.928+02:002012-01-16T02:07:19.928+02:00Karibu sana ,kijana,watu wanakulilia sana kwa kup...Karibu sana ,kijana,watu wanakulilia sana kwa kupotea kwako. nafikiri likzo yako ilikuwa dangachee,wekelea kanyau. umenikumbusha band ya banangenge na wimbo wao,Belinda. kheri ya mwaka mpya2012. kaka ssam mbogonoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-42226071634777667472012-01-16T00:06:26.198+02:002012-01-16T00:06:26.198+02:00Tunashukuru Mungu bado tunapata Choo safi...wewe j...Tunashukuru Mungu bado tunapata Choo safi...wewe je?<br /><br />Tunashukuru umerudi salama salimi. Heri ya mwaka mpya Mtakatifu.Mija Shija Sayihttps://www.blogger.com/profile/01124823448880077425noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-31582886356430601092012-01-15T18:35:08.117+02:002012-01-15T18:35:08.117+02:00Nimerudi tena nimesahau kusema KHERI SANA YA MWAK...Nimerudi tena nimesahau kusema KHERI SANA YA MWAKA MPYA 2012 ..nilikuwa na shauku ya kubwa kuona umerudi hapa:-)Yasinta Ngonyanihttps://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-39031327900173212272012-01-15T17:30:59.212+02:002012-01-15T17:30:59.212+02:00Karibu tena wangu,maana kijiweni palidodaaa.Heri y...Karibu tena wangu,maana kijiweni palidodaaa.Heri ya mwaka mpya kwako pia.EDNAhttps://www.blogger.com/profile/09635503380563352597noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-66036089669805358792012-01-15T14:53:13.567+02:002012-01-15T14:53:13.567+02:00Shukran, Heri ya Mwaka Mpya nawe pia, Karibu tena!...Shukran, Heri ya Mwaka Mpya nawe pia, Karibu tena!!!mumyheryhttps://www.blogger.com/profile/00587673739873420894noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-38732531911283267412012-01-15T13:55:24.690+02:002012-01-15T13:55:24.690+02:00-:(-:(Yasinta Ngonyanihttps://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-70213569218527595932012-01-15T13:34:13.186+02:002012-01-15T13:34:13.186+02:00Asante YASINTA nimekumisi pia sana tu!:-(Asante YASINTA nimekumisi pia sana tu!:-(Simon Kitururuhttps://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-28243782.post-20950739616945164712012-01-15T13:25:17.107+02:002012-01-15T13:25:17.107+02:00Ni furaha kusikia kuwa umerudi. kwani binafsi nili...Ni furaha kusikia kuwa umerudi. kwani binafsi nilikumiss mno pia nilimiss kusoma uandikacho. karibu karibu karibu sana.Yasinta Ngonyanihttps://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.com