Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!
Showing posts with label Mmmh. Show all posts
Showing posts with label Mmmh. Show all posts

RAIS anapolia!

>> Saturday, November 10, 2012





Read more...

Namuachia NINA SIMONE!

>> Monday, June 04, 2012

Feelings!

Read more...

GHAFLA!- Na kwa ghafla unaweza kubanwa hata na haja ISIYO kubwa kwa WENGINE!

>> Thursday, May 31, 2012

Ila GHAFLA,....
.... labda wala sio GHAFLA,....
...... kwa kuwa yasemekana kila kitu hapa DUNIANI huchukuwa MUDA,...
.... na inategemea tu na uharaka wa KIPIMO cha MTU kuhusiana na KITU uwezeshao  kugeuza SEKUNDE igeuke MWAKA.

Swali:
  • Si ghafla tu KIJANA anaweza kujikuta MZEE na anahangaika UZEENI kisa hakustukia UGHAFLA wa UZEE ukaribiavyo- kitu kilicho chelewesha KUJIANDAA?

Ndio,...
....labda inategemea tu na jinsi ulipavyo SWALA umakini,...
.... na kama humakini,...
.... kila kitu chaweza kuwa MITOKO YAKE  ni ya kighafla tu,...
.... na hapa wala siongelei  MTOKO kishahawa , kibaruti orgazimu ,ughafla wa KUHARIBU URAFIKI, Ughafla wa KUJIMIMINIA dhambi,ughafla wa kuingia ofisini na  KUJIFUNZA UFISADI , ufuska kiduchu wa GHAFLA mtu akihisi haonwi......
... au tu HATA  jinsi gani ghafla  UTAKAVYOSAHAU hii topiki,...
..... baada ya KUNISOMA!:-(

Swali:
  • Kwani si umeshawahi kubanwa hata na HAJA ghafla halafu baada ya kujisitiri ghafla UKASAHAU  ulivyobanwa kabla ya FARAGHA?

Ndio,...
.....labda kitu ``GHAFLA´´,...
...... hutegemea tu na spidi yako katika SWALA.:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!
Nakutakia SIKU NJEMA!

Hebu Billy Ocean aingilie kati,...
... na kuongelea jinsi PENZI lilivyo leta maana GHAFLA katika kitu-SUDDENLY

Read more...

Hebu Joshua Ledet aanzishe kwa -ITS a MAN's WORLD!

>> Wednesday, May 30, 2012

Yeah!




Au tu D'Angelo ajaribu kulainisha kwa -Brown SUGAR

Read more...

MATUMAINI!

>> Tuesday, March 20, 2012




Nafikiri PICHA inajieleza!
Na MUNGU atujalie TUSIKATE TAMAA hata kama HALI HALISI kiugumu wa MAISHA inatisha!



PS:
Samahani kwa kudesa picha kwa kuwa sijui mwenye hakimiliki nayo!

Read more...

Kwa kuwa ETI kunawadhaniao hakuna JINSI ya kuutafutia UTAMU jina JIPYA!

>> Friday, January 27, 2012

LAKINI,...
..... tokea enzi za kale LABDA,....
..... utamu ni uleule ila ni MAJINA tu unapewa MAPYA!

Swali

  • Si wajua CHACHU , chungu, tofauti ya utamu wa uke na kachumbari, tamu kama WAZO LA  ngono .... au tu tamutamu kama sukari -ilikuwepo tu tokea enzi na LABDA ni majina TU inapachikwa tu ili JUMA na ROZA waelewane wanaongelea PILIPILI au BAMIA kiutamu katika hoja za KITUMBUA?

Ndio,...
.....ni wazo tu hili NGULI!
Ijumaa na WIKIENDI NJEMA Bingwa!


Hebu La Chepuya waingilie kati kwa - Checo Acosta


UB40 wajaribu kupunguza spidi kwa kulalamikia ya PANYA FULANI katika -Rat in mi Kitchen




Halafu BUSTA a busti kwa kuzima katika -HATARI

Read more...

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP