Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!
Showing posts with label Busara. Show all posts
Showing posts with label Busara. Show all posts

ya TOFAUTI kifikira!

>> Monday, June 18, 2012

Read more...

YA DUNIA: Human echolocation lets blind man 'see' /Kuona kwa KIPOFU kwa KUSIKIA.

>> Monday, November 14, 2011

Swali:
  • Kama unaona-JE wakumbuka wasioona wanadinyaje wasiyoyaona ?

Cheki moja ya mbinu ya wasioona KUONA,...
... katika -Human echolocation lets blind man 'see'



Read more...

Leo katika CHAKULA cha AKILI!

>> Saturday, October 22, 2011

Think Different




Bob Marley - Redemption Song



Jumamosi njema MKUU!

Read more...

NGUVU ya MTU MMOJA katika ya HELKOPTA:Igor Ivanovich Sikorsky

>> Thursday, October 13, 2011

Kuna wengi husahau  kuwa ,...
....LABDA ni  MCHANGO wao kama mtu MMOJA,..
... ndio siri ya  JIBU kwa maswala yasumbuayo ULIMWENGU.

Na  ukisikia stori za watu kama STEVE JOBS,Thomas Alva Edison,Henry Ford, Albert Einstein, Mwalimu Nyerere, MANDELA, na wengine wengi,....
... unaweza kustukia ni JINSI GANI mtu mmojammoja pia kimchango wake anaweza kuwa chachu yakutosha .

LEO hebu tumcheki :
... katika-Sikorsky: Father of the helicopter


Read more...

Katika KUMBUKUMBU: I have a DREAM- Dr Martin Luther King Jr

>> Monday, October 10, 2011


Swali la kizushi:
  • Una NDOTO?



Read more...

Wakati TONY MELENDEZ asiye na MIKONO anapiga GITAA kwa MIGUU!

>> Friday, October 07, 2011

Swali:

  • Si kuna wafikiriao unahitaji mikono kupiga GITAA?

Hebu baada ya kusikia kifupi kuhusu yeye  ashushe pini:
-Let it be


Tudeku tu  pia  na yaliyojiri    PAPA John Paul akiwepo kushuhudia  katika kibao,....
- Never Be The Same


Ndio,...
.... labda kuna GITAA  lako KIMAISHA  ambalo limezoeleka kupigwa mimba  hata  KIPESA au tu KIVYETI  vya ELIMU KUBWA ,...
.....lipigikalo bila PESA wala ELIMU  kama utatumia kitu kingine  kulipa mimba tu LIZAE NEEMA kwa kutumia visivyozoeleka!

Swali:
  • AU?

Ndio,...
.... labda UNAWEZA udhaniacho huwezi,...
..... ila JARIBU kwa njia nyingine  kama NJIA watumiazo wengine kwako HUNA jinsi ya KUWANAZO!

Ni hilo tu MKUU!
Ijumaa na WIKIENDI NJEMA!

Read more...

LEYMAH GBOWEE-Mwanamke MWAFRIKA wa SHOKA

>> Thursday, October 06, 2011

Mchungulie,....
.. na ukihitimisha sio washoka ,....
...SASA mimi  .....just fikiria......NIFANYEJE?


Ndio,...
... ingawa SHOKA sio BUNDUKI,...
... LABDA kuna mengi yangenitoa BARUTI huyu MMAMA kakomalia!:-(


NI HILO TU MKUU!

Read more...

Umeme wa JUA : HEBU tucheki SPAIN

>> Monday, October 03, 2011

Read more...

Haya wana NDONDI!

>> Saturday, September 24, 2011

Deku,...

Read more...

Kama unapenda kazi za MIRIAM MAKEBA!

>> Wednesday, September 14, 2011


Nimecheki jana filamu ya MIRIAM MAKEBA ,...
.... iitwayo “Mama Africa” na nimeipenda sana,...
....... na nashauri yeyote mpenzi wa MIRIAM MAKEBA  kama mimi,...
......kuicheki pia akiweza.

Ni ile ambayo unaweza kusoma maelezo yake zaidi HAPA

Kwa kifupi  na kwa  kimombo hii ni :

Award-winning director Mika Kaurismäki’s inspirational tribute to Makeba is packed with five decades of rare archival footage, interviews, and excerpts from the legendary performances that exhilarated millions and inspired musicians like Harry Belafonte, Hugh Masekela, and Paul Simon.


NI HILO TU MKUU!



Hebu Bongi MAKEBA binti ya MIRIAM aanzishe upya kwa-Ngoma Nkurila



Au tu Miriam Makeba aingilie kati  nakurudia - African Sunset



Read more...

Jumuiya ya Watanzania Uingereza yatoa salam za Rambirambi

>> Monday, September 12, 2011

Kwa niaba ya jumuiya ya watanzania waliopo nchini uingereza chini ya Mwenyekiti wa TANZ- UK taifa imesikitika sana na kuwapa pole watanzania wenzetu wa zanzibar kwa msiba mkubwa uliolikumba taifa. Watanzania wote tulio hapa tunaungana nanyi  kwa pamoja katika wakati huu mgumu na  pia tuko tayari kushirikiana kwa hali na mali kuwafariji ndugu na jamaa kwenye msiba huu.

MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU WABARIKI WATANZANIA

Mwenyekiti TANZ- UK.                                          
Dr John Lusingu

Read more...

RAMBIRAMBI!

>> Sunday, September 11, 2011

Mungu walaze mahali pema PEPONI,...
.....wote waliofariki kwenye MELI  itokayo UNGUJA kwenda PEMBA iliyozama jana!

Read more...

Hebu tudeku yawakutao WANAWAKE KONGO katika : Field of Hope !

>> Friday, September 09, 2011

Ndio,...
....DUNIANI ,...
... kuna wengine na MENGINE!:-(


Read more...

Je, unajua Kila unapofungua website au blog unaacha fingerprints? Ina madhara hivyo jifunnze kujihami

>> Friday, September 02, 2011


Huwezi kutumia internet kwa matumizi ya kawaida bila kutumia Internet browser. Hii ni interface inayotuwezesha kufungua blog, websites na progams nyingine za Internet. Kuna aina sita za Internet browser:

Internet Explorer – Microsoft Inc
Google Chrome – Google Inc
Mozilla Firefox – Mozilla Corporation
Safari – Apple
Opera – Opera Software
Netscape – Netscape Communication Corporation


Ili kurahisisha matumizi yake, Internet browser zote zinahifadhi kumbukumbu ya web sites zote ulizotembelea. Zinafanya hivyo kwa sababu kadhaa. Sababu ya kwanza ni kwamba kwa kuhifadhi kumbukumbu hizo huwa inamrahisishia mtumiaji anapotaka kutembelea website hizo hizo hapo baadaye. Hii inapelekea internet experience kuwa faster kwa sababu baadhi ya information imehifadhiwa kwenye komputa yako na sio kwenye server maili kadhaa kutoka ulipo.

Pamoja na kwamba web browser inaokoa muda wako, kuna mswala kadhaa yanayoweza kuleta madhara kwenye komputa yako.

Kwanza kumbuka kwa kuwa wewe umerahisishiwa unapotembelea web sites ulizozoea, hali hii inamwezesha mtu mwingine kuziona kumbukumbu hizo zinazohifadhiwa na web browser. Baadhi ya web site ulizotembelea inawezekana information zilizohifadhiwa ni muhimu au za siri (kama mambo ya kikazi). Mtu mwingine mwenye nia mbaya anaweza kujua kila website uliyotembelea na nini ulichofanya kwenye website hiyo. Kuepusha watu kuona information zako usiache fingerprint unapotumia internet. Unafanya hivyo kwa kufuta (delete) kumbukumbu zote ambazo web browser imazihifadhi.

Unaweza kufuta kumbukumbu hizo kirahisi kabisa kama ifuatavyo:

Google Chrome: Select “Tools” and choose “Clear Browsing History”

Safari: Click on the “History” tab in your menu bar. Select “Clear History” located at the bottom of the list.

Internet Explorer: Select the “Safety” drop down menu at the top right of the screen. Choose “Delete Browsing History.”

Mozilla Firefox: Click on the “Tools” menu, then select “Clear Recent History.”

Pia kuna njia nyingine unayoweza kutumia web browser bila kuacha fingerprint. Web browser zote zina feature inayokuwezesha kufanya hivyo: Kwa watumiaji wa Internet explore hii inaitwa “In Private”; kwa Mozilla Firefox na Safari hii inaitwa “Private Browsing”; na kwa Google Chrome hii inaitwa “incognito”. Njia hii ni nzuri zaidi hasa kwa wale wanaotumia komputa za public kwa mfano cafĂ©, shuleni, vyuoni, kazini, n.k.

Soma zaidi tembelea blog yako ya teknolojia hapa : http://it4dev.blogspot.com/

Kila la kheri!



Read more...

Mambo Sio Mabaya ndani ya Mji wa Tottenham

>> Friday, August 19, 2011

Salam,


URBAN PULSE CREATIVE wakishirikiana na Freddy Macha walipata fursa ya  kupitia mji wa Tottenham uliopo katika jiji la london ili kujionea kwa macho hali ilivyo kwa sasa. Program hii imerekodiwa kwa kutumia Simu ya mkononi,

Asanteni.
URBAN PULSE CREATIVE



Au ,..
...deku tu,...

Read more...

Mzee Raza sehemu ya pili |URBAN PULSE|

>> Tuesday, August 16, 2011





Salam,

Global Fusion Music & Arts inakuletea Maonyesho ya Picha kutoka kwa msanii Maarufu kutoka Tanzania Mzee Raza pamoja na Mwanae yaliyofanyika Chrlton House Hapa London.


Hi ni sehemu ya Pili katika kipindi chetu cha msanii wa kimataifa mzee Raza kutoka Tanzania wakati alipofanya maonyesho ya picha zake akiungana na mwanae Eddy Raza hapa Uingereza yaliyofanyika katika ukumbi wa Charlton House, London hivi karibuni na  kutayarishwa na Global Fusion Music and Arts.
Mgeni Rasmi Alikuwa Naibu Balozi wa Tanzania Chabaka Kilumanaga.



Asanteni,

URBAN PULSE CREATIVE




 Sehemu ya kwanza,....
...katika blogu hii iliyokwenda kwa kichwa cha habari :

Mtambue Mchoraji Wa Kimataifa Mzee Raza!


....kongoli,...
....HAPA


Read more...

Daladala MBEYA zapandisha NAULI!

>> Thursday, August 11, 2011

Nauli zapanda kutoka sh 300 mpaka sh1000 kituo hadi kituo!



Dala dala za Mbeya zimepandisha nauli kutoka sh 300 mapaka sh 1000 kituo hadi kituo sababu ni kukosekana huduma ya mafuta katika vituo vyote vya mbeya





Hiki ni kituo cha mafuta cha BP Mbeya toka juzi wanasema hawana mafuta

Picha na maelezo,...
.... kutoka MBEYA YETU blog.



Hebu tubadili ,...
... kwa kukumbushwa na TRICKY kuwa -Hell is around the corner

Read more...

MAONYESHO YA KILIMO ya nanenane NYANDA ZA JUU KUSINI yafana sana MBEYA.

>> Tuesday, August 09, 2011

Waziri wizara ya MAENDELEO ya MIFUGO -Dr Mathayo DAVID Mathayo akifungua maonyesho ya KILIMO Nyanda za JUU KUSINI mkoani MBEYA katika uwanja wa JOHN MWAKANGALE.
Waziri David Mathayo akipokea maandamano.Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa MBEYA.
Maandamano yakiwa yanaingia viwanja vya nanenane
Waziri akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa wilaya wa Mbeya Ndugu Evance Balama alipotembelea Banda la halmashauri ya wilaya ya Mbeya.
Umati mkubwa wa wananchi waliohudhuria maonyesho ya nanenane


Baadhi ya watumishi wakifurahia na kupokea vyeti vyao vya ushindi katika Banda bora



Baadhi ya watumishi wakifurahia na kupokea vyeti vyao vya ushindi katika Banda bora




Baadhi ya watumishi wakifurahia na kupokea vyeti vyao vya ushindi katika Banda bora



Baadhi ya wateja wakipata maelezo katika Banda la Vodacom




Mzee Kyando wa Kikundi cha Huzuni cha BABA WA TAIFA alikuwepo.



Kama kawaida WACHINA hawakukosa eneo hilo kuchemkia biashara ya maua.


Picha zote na MAELEZO ,...
.... ni kwa HISANI ya MBEYA YETU BLOG.



Na....

DISCOVER THE AMAZING AREAS FROM TANZANIA


 













To discover more CLICK THE LINK DOWN
AMAZING TANZANIA THE GREEN LAND


Read more...

NYERERE akikutana na WAANDISHI WA HABARI Dar es salaam, Tanzania, 1995




























Asante kwa aliyeziweka MTANDAONI!

Read more...

Salum Abdullah wa Cuban Marimba Band unafikiri angekuwa hai TANZANIA angekuwa anafikiria nini kutokana na WIMBO wake huu?

>> Monday, August 08, 2011




Read more...

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP