Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

MAONYESHO YA KILIMO ya nanenane NYANDA ZA JUU KUSINI yafana sana MBEYA.

>> Tuesday, August 09, 2011

Waziri wizara ya MAENDELEO ya MIFUGO -Dr Mathayo DAVID Mathayo akifungua maonyesho ya KILIMO Nyanda za JUU KUSINI mkoani MBEYA katika uwanja wa JOHN MWAKANGALE.
Waziri David Mathayo akipokea maandamano.Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa MBEYA.
Maandamano yakiwa yanaingia viwanja vya nanenane
Waziri akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa wilaya wa Mbeya Ndugu Evance Balama alipotembelea Banda la halmashauri ya wilaya ya Mbeya.
Umati mkubwa wa wananchi waliohudhuria maonyesho ya nanenane


Baadhi ya watumishi wakifurahia na kupokea vyeti vyao vya ushindi katika Banda bora



Baadhi ya watumishi wakifurahia na kupokea vyeti vyao vya ushindi katika Banda bora




Baadhi ya watumishi wakifurahia na kupokea vyeti vyao vya ushindi katika Banda bora



Baadhi ya wateja wakipata maelezo katika Banda la Vodacom




Mzee Kyando wa Kikundi cha Huzuni cha BABA WA TAIFA alikuwepo.



Kama kawaida WACHINA hawakukosa eneo hilo kuchemkia biashara ya maua.


Picha zote na MAELEZO ,...
.... ni kwa HISANI ya MBEYA YETU BLOG.



Na....

DISCOVER THE AMAZING AREAS FROM TANZANIA


 













To discover more CLICK THE LINK DOWN
AMAZING TANZANIA THE GREEN LAND


0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP