WAKATI unaendelea KUVUMILIA wakati UMENYIMWA na MALAYA,....
.....bado....
AFRIKA inagawa kama malaya na kumnyima iliyomnyima liMTU kama ANYIMAVYO mtu MALAYA.
Labda,... ... AFRIKA ni BARA MALAYA ingawa kuna wanyimwao na MALAYA.
KATIKA..... ... KUVUMILIA ni bado unavumilia kwa kuwa ULITAKA na ukinyimwa ROHO INAUMA KWAKUWA ULITAKA ingawa uko katika uvumilivu na unafikiri imekuaje hunauhakika UTAPATA ya kawaida na unashangaa umenyimwa uliyofikiri ni YA UHAKIKA yake MALAYA.
Wakati UNAVUMILIA bado ni KWELI ulitaka kuifanya hata ambayo sio ya MALAYA ,na kunauwezekano unakumbuka au baada ya kunyimwa NDIO UMEKUMBUKA unaweza KUCHEUA mwenyewe na huhitaji MALAYA.
Swali:
Wakati unafikiria maendeleo umewahi kukumbuka kitu kiitwacho PUNYETO?
KAMA,... .... unavumilia LABDA unafanya na uvumilivu WAKO NI DALILI za kubobea katika KUFANYA.
FANYA BASI! Swali:
AU?
AU unanisubiri MIMI nifanye?
NA ni KWELI,... .... mambo ya MALAYA MTAMU anajua aliyeonja na kula MALAYA.
NA,... .... wengi waongeleao, KUPIGA KELELE au KUMZUNGUMZIA malaya,hawamjui MALAYA Swali:
AU?
Kama AFRIKA ni demu mwenye chunusi unafikiri unge mtoa chunusi kwa kubinya chunusi au kwa kumsifia anachunusi ujualo halidumu kwenye uso mzuri?
NAACHA!
Ngojea nimuache rafiki yanguPapaa Kweba ofisini!Kweba eeh, unanitenga lakini!Tuko pamoja na salamu lukuki!
Ngojea TONY HENRY alete tena muziki aina ya opera katika- NOW we are FREE.
Au ngojea TONY HENRY wa RNB alete za- Redemption Song
DUH!! Basi tupate tu ZUKE kutoka kwa Jacob Devariux na wenzake...
Labda,... ....unapenda rangi ya JIPU LIKIIVA au tu rangi ya NUNDU kesho yake baada ya kupewa NUNDU.
Na,... .... inawezekana WEWE ni MBAGUZI kama unauhakika wa MAANA YA UBAGUZI ni nini.:-(
Swali:
Kama unajua RANGI , kwa kawaida unazungumzia RANGI GANI nyeupe ya MTU kama katika SIMULIZI zako za karatasi JEUPE unazungumzia NYEUPE?
Ushawahi kuona mtu BILA rangi wakati unaangalia mavuzi au masharubu CHOMACHOMA ya MTU?[Samahani kama jina la nywelenywele nyingine inawezekana ni matusi.:-(]
Lakini,.. .....katika kuona KIBOGOYO unaweza kukumbuka MENO na ukajifanya ni kawaida yako kupiga MSWAKI wakati meno yako yameoza na yana rangi ya DHAHABU -MAVI.
Swali:
AU?
Na,.. ... wakati unaona RANGI YA BLUU BAHARINI,ni KWELI inawezekana ukasahau BAHARI HAINA RANGI BLUU na uonacho BAHARINI ni rangi ya anga la BLUU.:-(
Swali:
Kama wewe ni MTANZANIA unauhakika MZUNGU na ALBINO wanatofauti YA uweupe wa rangi wakati kwako MAALBINO ndio DILI?
Unauhakika unajua JINA la rangi yako?
NAACHA!
Ngojea tutulie kwa kwenda CHINA kushuhudia mwanamama AKILIA kwa kuchelewa ndege......
Au TYRA Banks anisaidie kwa kujishebedua katika-Shake YA body
Au tu Whitney Huston arudishe UMAHIRI ingawa ni UONGO katika - I will always LOVE U Read more...
Labda,... .... WAAFRIKA TUNAHESHIMA mpaka TUKATAWALIWA.:-(
HESHIMA ni kitu cha bure na labda ndio maana inasemekana WAAFRIKA wanaheshima sana kutokana na ukweli kuwa heshima ni BEI CHEE , kama hukiri kuwa ni BURE, mpaka kwa heshima tunategemea vya BURE na kwa heshima ni MASIKINI kwenye UTAJIRI.
Na,... .... ukisema WAFRIKA wanaheshima sana hasa KWA WENGINE kuliko WAJIHESHIMUVYO WAO, .....
.... naweza kushindwa KUKUBISHIA wakati NIMESHUHUDIA kuanzia WATU mpaka DINI ZA KIAFRIKA wasivyo na zisivyoheshimiwa na WAAFRIKA, na watafiti mpaka wa guenea worms wazinguao Waafrika wako au wanatoka UGHAIBUNI.
Labda ni kweli,... ....SIKU HIZI kuna wataalamu kutoka nje wa mambo ya AFRIKA wakati Waafrika tuko mstari wa mbele katika imani na tafiti za wengine kwa ajili ya WENGINE!:-(
Swali:
Hivi si HIP HOP ni bomba kuliko MDUMANGE, Mdundiko, CHAKACHA na TAARABU kwa pamoja?
Hivi unauhakika Taarabu na Mlimani park JAZZ BANDI ,ni miziki ya Kiafrika?
Hivi WAAFRIKA pamoja na kuuana unauhakika wana na wali-KUWA na HESHIMA?
Turudi katika hoja,.....
Wakati unataka KULETA ZA KULETA za kuwalaumu mafisadi wajanja MTOTO WEYE, kumbuka KIAFRIKA tokea enzi hizo TUNAHESHIMU WAKUBWA na tulitawaliwa salama SALIMINI kwa heshima.
HESHIMU wakubwa weye usije laanika bure wakati unajua kwa kuwa masikini ni rahisi zaidi kwenda mbinguni kuliko tajiri kupenya katika tundu la sindano, na ukikosa heshima UTALAANIKA.
Swali
AU?
Hivi unauhakika UKIHESHIMU utaheshimika hata na waheshimiwa wasiojua heshima ni nini?
Hivi unatofautisha kuogopwa na kuheshimiwa?
Nauhakika tu,... ... wakati WAAFRIKA kwa heshima TUNALALAMIKA, kwa kulala TUNATENDA na matunda yanaonekana katika mkao wa kuendelea kuujaza ulimwengu kwa KUJIFUNGUA akina totoz zenye majina kama MIKAELA na MIKA hata kwa Kihindu, Kiislamu na Kigagagigikoko .
MUNGU IBARIKI AFRIKA!
Au kama na nyie MIUNGU mpo na mna BARAKA kinamna , BARIKINI BASI AFRIKA na WAAFRIKA kama mbarikivyo wengine na acheni NOMA!
AAAGH!
NAACHA! Kumbuka nawaza tu hapa MKUU na labda sitendi!:-( wiKIENdi njEma!
UKIZALIWA unaweza kubahatika kuanza na NEPI au tu lichupi la kanga , shuka au kitenge, kama si linguo tu lililochanwa katika kaptura ya kaka,......
..... katika jitihada za WALEZI kukusitiri TOTO ZURI wakati unajinyea na kujikojole kwa utoto.
Kwa UJANJA na BAHATI unaweza kukwepa kuaga dunia MAPEMA mpaka ikafikia WALEZI kukusitiri kwa NEPI au tu chupi ya kanga, shuka,.... au kitenge , ZEE ZURI usitirike wakati unajinyea na kujikojolea kwa kusahau ya choo kwa uzee.
MAMBO YOTE ni NEPI kulia-nepi KUSHOTO katika dansi hili kama unabahati katika wimbo huu na sebene hili la MAISHA.
TUNAKUMBUSHANA TU na hatutishani!
Swali:
AU?
Bado unauhakika unataka kuishi sana ?
Au unamuogopa Mungu nini ndio maana hutaki kuanza mapema?
Tuendelee na ya CUBA kama CELIA CRUZ adaivyo katika - OYE COMO VA
AU tu CELIA CRUZ amalizie kwa -Azuca Medley Read more...
MAMA tamutamu mwenye ASKARI,... .....najua ushapitia na unajua machungu, tufurahi kwa kuonja ACHALI.
NATAFUTA ya futari,... ... wajua kwa AFUNGAE tamu si pekee ASALI.
WENYE kelele wanatafuta GARI,.... .... mie nitaridhika na mzoefu wa kubinuka akinipa hata kwa kulala CHALI.
WADOGO wasio shuga mama kwenye sinia kubwa la KACHUMBARI,... ...wanajiamini kwa kisimi kikubwa MADHABAHUNI na kufikiri sala zitafika kwakua TUNASALI.
WAZEE walio shuga mama kwenye SAFARI,... ...kutoka Nairobi kwenda HUNGARY, naogopa twawezaishia MALI.
NA magugu ni kitanda cha NGIRI,... ....na kwa ajuaye ajua meno kama ngiri , kwa ngiri ni urembo kama BANGILI.
SHUGA mama mzoefu wa alichokula JUMA na alacho BAKARI,.... .... nimatumaini yangu utanilisha cha Serina , Asha , Rose kwa uzoefu wakati ukinijulia HALI.
SHUGA mama ukinifikisha usije shangaa nikitaka kutoa MAHARI,.... .... unajua safari zetu siku hizi hata kwa TREKTA bado matope mengi na hatufiki MBALI.
Ni kweli kama tamu nitataka yote KACHUMBARI,... ..... katika uadimu wa nyanya ndogo ZENYE MAKUBWA ,zikifikia mzani nisamehe kwa ULAFI katika hii HALI.