SAMAHANI! Nawakimbia tena wadau wa BLOGU HII kidogo!:-(
>> Tuesday, April 22, 2008
Samahani wadau wa blogu hii!
Nimebanwa kidogo, kwa hiyo , saundi haitoki stirio....
Lakini nafikiri kuanzia Ijumaa hii , pilau inaweza kunukia tena hapa kijiweni kama kawaida.
Au ngojea niseme.....
2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Kababu kanacheka man duu..
@Aliko:Siutani!:-)
Post a Comment