Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

VAZI TATA! KUNANI MWENZETU?

>> Wednesday, October 05, 2011


Picha ya juu ni Katibu Mkuu Mwenezi wa CCM Nape Mnauye, na picha ya chini wa kushoto ni Mh. Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA.



Hilo vazi lako Nape linanichanganya, mie sijakupata vizuri. 
Mbona linafanana na hilo lililovaliwa hapo chini kushoto?
Au upo pia na kule nini kwenye vidole?


Nimetumiwa na:
Henry Kapinga wa KAPINGAZ Blog

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP