SHENZI mimi au YULE!!
>> Tuesday, June 24, 2008
Mapenzi ya kutukana yako kichwani mwangu na kwako tu.
Lakini kuna maneno ambayo hutambulika kama matusi ambayo sijui yanatokea wapi mpaka mimi na yule tunaamini kuwa tumetukanwa.
AU?
Swali:
- Unafikiri kutukana ni nini?
- Ushawahi kukasirika baada ya kuamini umetukanwa?
- Hivi matusi ni nini?
Samahani blogu yangu imezubaa siku hizi kutokana na ukweli kuwa niko kushoto.
Samahani kiduchu kuna haka kawimbo ka KASSAV kako kichwani kidogo:-(
Niko kushoto kidogo a.k.a nchi fulani ambayo kupata internet connection ni ujanja kidogo ndio maana blogu iko nanihii.
LAKINI Unaweza ku -search chochote kwenye blogu hii wakati unanisubiri niandike ujinga mpya tena ukipenda au kama wewe mdau wa kijiwe hiki.
Cheki baadhi ya picha zangu za Vilnius LITHUENIA na......
SAMAHANI kwa ambaye anaweza kuzinguka!
Kama una nafasi unaweza kusikiliza mziki naoendelea kusikiliza sasa hivi ingawa usiniulize muziki huu unafundisha nini:-(
Mpate basi Snoop DOGGKatika wimbo GO Girl
Usimuangalie hapa kama unamchezo wa kuogopa majini, shetani au mambo yawezayokuwa mbele KIDOGO ya kinyesi kwa KUCHEFUA..... katika wimbo KUUA ni KESI niliyoPEWA.
Pata busara au msikilize Michael Shermer akukumbushe kwa nini nikijaribu kukudanganya unastukia na......
Read more...