Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Chakula cha Mawazo!- Dume Jike!

>> Tuesday, October 17, 2006

Nakumbuka nilipokuwa mdogo katika jitihada za kuhakikisha kuwa mimi naitwa dume ilibidi nipitie mambo kibao. Nishakula pilipili kali , kupigana na mengine mengi tu ili mradi nipasi kama dume. Sasa hivi karibuni nilipata kuongea na Mbongo ambaye alikuwa anauelezea utamaduni wa ubasha na usagaji ulivyo neemeka katika baadhi ya sehemu Tanzania. Hili swala ingawa mara nyingi haliongelewi sana ni jambo ambalo liko sehemu kibao. Katika kipindi hiki cha karibuni, hasa baada ya Louis Farrakhan kuzidi kuugua nimekuwa nikipitia kazi zake. Yeye analake la kuongea, hasa mtazamo wake juu ya wanaume kama akina Michael Jackson na Prince, unanifikirisha. Kwa kuonekana kikekike anaamini si mfano mzuri kwa wanawake, kwani wnaanza kupotoka kuwa mwanamume halisi ni yupi.
Je unasaidia wanaume kuwa kama wanawake?


0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP