Unaweza kujivunia Uafrika?
>> Friday, February 16, 2007
Kuna watu wananiambia kuwa mara nyingi inakuwa vigumu kwao kujivunia Uafrika. Mimi siwakatalii, kwani ni ukweli Afrika inamatatizo kibao. Kuna watu wanamatatizo kibao mpaka ingawa ninamatatizo milioni na uchafu huonaaibu kulalamika.
Lakini hebu niseme....
8 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
nimekuta ujumbe wako kule kwenye blogu ya Jumuiya yetu. Sidhani kama ina tatizo lolote kwakweli au labda ulikuwa unakosea anwani?
- http://msangimdogo.blogspot.com au ikishindikana hiyo basi jaribu
- http://uchambuzi.blogspot.com
@msangimdogo:hii ya uchambuzi.blogspot.com hua haitatizi. Ni hii ya zamani ya msangimdogo.blogspot.com ndio huwa nashindwa kuingia.Sijui ni kwasababu gani.Labda ni computer yangu na connection inayozingua.
ujumbe mzuri kwa mwisho wa wiki.kuna aina nyingine ya wale tusiojivunia uafrika ila tunajivunia utanzania.kila mara ninapoitetea Afrika hufanya hivyo kwa sababu Tanzania iko Afrika.
@Zemrcopolo:hiyo ni kweli tupu!Lakini Zema? Tutafanyaje?
Nimeguswa na mziki wa Tanzania; manake siku hizi ni Bongo Fleva. Mie binafsi napenda sana mambo ya kina Msondo, Sikinde, Pamba Moto, Sendema. Ila hizi hazipigwi redioni.
Kuna bwana mmoja wa Mwanza anaitwa LUSUNGU, anatangazia Free Africa FM, kweli jamaa anajaribu kuuenzi mziki halisi wa Tanzania.
Binafsi niseme najivunia uafrika japo nadhani ipo kazi kuzuia kumezwa kwa utamaduni wetu na kusahaulika kabisa.
Mimi najivunia rangi yangu katika ardhi yangu,nipo katika ardhi ya mtu mweusi,labda niwaulize, JE MNAJIVUNIA UAFRIKA?
@Luihamu:Unamaanisha nini?
@Innocent!ulichosema kweli tupu!lkini sijakuona hapa muda mrefu sana Inno. Nitembelee mara kwa mara. Mimi kwako nakutembelea sana!
Post a Comment